Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

2nd goal. Reece
1600118420031.gif
 
Lampard leo hakupanga kikosi cha ushindi, hasa kwa kumuweka RLC na Jorginho
Kwangu man of the match ni Zouma, bado anaendeleza consistency ya kucheza vizuri
Werner kaanza vizuri hata kama hakufunga lakini alikuwa threat na pia katupatia penalti
Kai mwanzo wake mgumu, leo naona dogo katalii tu
RLC anavuta miguu kama vile anaumwa funza miguu yote,

Ningekuwa mimi leo ningepanga timu hivi


Giroud
Werner --------- Mount ---------- Havertz
Kante ------- Jorginho
Alonso ----- Zouma ---- Christensen ----- James
Caballero
 
Niliwahi sema humu huyo karavati Hana alichomzidi Nicolas Pepe [emoji23] maisha mmepigwa
 
Lampard leo hakupanga kikosi cha ushindi, hasa kwa kumuweka RLC na Jorginho
Kwangu man of the match ni Zouma, bado anaedneleza consistency ya kucheza vizuri
Werner kaanza vizuri hata kama hakufunga lakini alikuwa threat na pia katupatia penalti
Kai mwanzo wake mgumu, leo naona dogo katalii tu
RLC anavuta miguu kama vile anaumwa funza miguu yote,

Ni9ngekuwa mimi leo ningepanga timu hivi


Werner --------- ------------ Havertz
Ilitakiwa leo giroud acheze na Timo Werner nyuma yao awe Kai havertz formation aliyoanza nayo Lampard ilikuwa ya ovyo ndio maana ukuona ubora wa havertz
 
Pound 90 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lampard leo hakupanga kikosi cha ushindi, hasa kwa kumuweka RLC na Jorginho
Kwangu man of the match ni Zouma, bado anaedneleza consistency ya kucheza vizuri
Werner kaanza vizuri hata kama hakufunga lakini alikuwa threat na pia katupatia penalti
Kai mwanzo wake mgumu, leo naona dogo katalii tu
RLC anavuta miguu kama vile anaumwa funza miguu yote,

Ningekuwa mimi leo ningepanga timu hivi


Giroud
Werner --------- Mount ---------- Havertz
Kante ------- Jorginho
Alonso ----- Zouma ---- Christensen ----- James
Caballero
Haverrtz nafasi anayocheza ni CAM na siyo Winger ndio maana kapata shida mechi ya kwanza.
 
Haverrtz nafasi anayocheza ni CAM na siyo Winger ndio maana kapata shida mechi ya kwanza.
Hata kama ingekuwa hivi bado angeflop leo mpaka azoee mazingira haya itamchukua mechi kama 2 au 3 tena timu ikiwa iko full swing
Giroud
Werner --------- Havertz ---------- Mount
Kante ------- Jorginho
Alonso ----- Zouma ---- Christensen ----- James
Caballero
 
Ilitakiwa leo giroud acheze na Timo Werner nyuma yao awe Kai havertz formation aliyoanza nayo Lampard ilikuwa ya ovyo ndio maana ukuona ubora wa havertz
Hata mimi niliona hivyo badala ya kumchezesha RLC, Groud angecheza striker na werner nafasi ya pulisic

Giroud
Werner --------- Havertz ---------- Mount
Kante ------- Jorginho
Alonso ----- Zouma ---- Christensen ----- James
Caballero
 
Huwa tukiwambia wanatuona sisi hamna kitu.
Wakati wa Sarri alicheza vizuri msijifanye hamna macho au masikio kisa tu humpendi. Sababu iliyosababisha akapewa mkataba wa miaka 5 na alikuwa asepe ni hiyo kucheza vizuri japo alikuwa bado kufikia world class level. Baada ya majeruhi huyu RLC kashindwa kurudi kwenye form, basi tena, hakuna namna asote benchi tu asubiri mechi za Carabao
 
Kai Havertz and Mason Mount are not wingers, full stop.

Lampard bado no tatizo ndani ya klabu yetu mpaka leo hajajua namna ya kupanga kikosi.
Mkuu wewe una mihemko kupita kiasi. Jambo kidogo ushaanza kulalalama na blah blah kibao. Kama wakina Pulisic na Ziyech wangekuwepo hapo wote tungeshangaa kuwaanza Kai na Mount kama wings.

Hakua na option nyingine zaidi ya hiyo benchi alibaki Odoi pekee wewe unadhani angemchezesha kama winga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom