Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndugu matatizo ya Kepa tunaijua na dawa yake tunaijua
Havertz anahitaji tu warm up ili azoee ligi
hhahahahahahah aiseeeeeeeeehhhhh yaani mpaka muda huu bado hujatambua walichowafanyia Bayerlivekursen?dah yaani na hili nalo linahitaji mivyeti ya chuo kikuu!!!!!!watoto wa mjini tunasema hapo mshapigwa sindano ya nyama hahahahah mchana kweupeeeeeeeeeeeeeeeeee peeeeeeeeeee
 
Hivi huu uzi ni wa Arsenal au nimepotea njia
mnavyokuja kujaza mashudu yenu kule mnakuwaga mnafikiri ule ni uzi wa Chelsea?
kaa kwa kutulia jomba, ugali moto nchuzi moto......jiandae kupiga miruzi ,

Hii chelsea yetu haina tofauti na Utopolo,mimi ni msema kweli kabisa
 
Kwani tukipigwa wewe unateseka sana? mbona washabiki wa Arsenal mnaumia sana na wachezaji wapya wa Chelsea ilihali mna uzi wenu wa kujadili mambo ya Arsenal?
kwahiyo mkuu ndio unatufukuza?basi tusione mbarara ya chelsea kule katika uzi wa mabingwa wa jumla wa England kwasasa,
London is Red
 
tunawakeeeeeeraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

na kuwakeraaaaaaaa ndio jadi yetu ,sababu nyinyi ni vibonde wetu,
acha tuwakereeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ndio mjikaze mpunguze ile gap ya head to head na mataji,

la sivyo tutazidi kuwakeraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Najaribu kufuta picha hapo mbeleni kikosi kinashuka dimbani kimetimia wachezaji wote Pulisic, Werner, Ziyech, Harvetz, Kante, Kovacic, Chilwell, Zouma, Thiago, James.

Chelsea kwa sasa tuna great great players, tunatakiwa tujivunie sana chama letu. Tulisupport kwa nguvu zote.

Wapinzani wetu kwa sasa wanajiona wako jehanam sisi tupo paradiso tunawaangalia kwa mbaliliii, wivu wao umewajaa.
mkuu tumaini lenu la mwisho kwa sasa limebaki kwa Hakeem, ila hao wengine tushawaona jana kuwa ni kina Linghadinho wa kijerumani,

so mjiandae kwa maumivu
 
Najaribu kufuta picha hapo mbeleni kikosi kinashuka dimbani kimetimia wachezaji wote Pulisic, Werner, Ziyech, Harvetz, Kante, Kovacic, Chilwell, Zouma, Thiago, James.

Chelsea kwa sasa tuna great great players, tunatakiwa tujivunie sana chama letu. Tulisupport kwa nguvu zote.

Wapinzani wetu kwa sasa wanajiona wako jehanam sisi tupo paradiso tunawaangalia kwa mbaliliii, wivu wao umewajaa.
Huo mziki mtu unatokaje kwa mfano...
 
Hiki ndicho kinawaumiza Arsenyeto. Hawataki kukubali
JamiiForums-1296245146.jpg
 
tunawakeeeeeeraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

na kuwakeraaaaaaaa ndio jadi yetu ,sababu nyinyi ni vibonde wetu,
acha tuwakereeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ndio mjikaze mpunguze ile gap ya head to head na mataji,

la sivyo tutazidi kuwakeraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Endeleeni kukera, bado muda kidogo mtatupa utamu wenyewe
 
Chelsea to announce £20m new signing ‘today’ after successful medical
Edouard Mendy will join Chelsea “imminently” for a reported fee of around £20m, according to Sky Sports.
According to the Daily Mail, Rennes tried to get Olivier Giroud included as part of the deal, but Chelsea want to keep the Frenchman.

1600168526707.png
 
Kwan HUYU MAVI YA BUNDI CJUI ANAJIITA DURRY CJI DULA DONGO TIMU YAKE HAIJUI MBWA KOKO KWA TIMU YAKE HAIJUI ARSENYETO???
kuna lijimbo la taifa huko wasafi wamelitoa linaitwa chelwowowo

kinaimbwa hivi

Azipulikueta wowowoooooooo
kante kijeba wowowoooooo
vipi ka - Kai weeh kinabamba Ngongingoooooooo


jina lenu jipya ni Chelngongingo
 
kuna lijimbo la taifa huko wasafi wamelitoa linaitwa chelwowowo

kinaimbwa hivi

Azipulikueta wowowoooooooo
kante kijeba wowowoooooo
vipi ka - Kai weeh kinabamba Ngongingoooooooo



jina lenu jipya ni Chelngongingo
Wewe bado siku chache utakuwa kichaa, hauko sawa kwenye akili yako. Wasipokupeleka milembe ndugu zako watakupoteza
 
Chelsea fans: ‘Havertz is so versatile- he can play 8,10,rw,ss.

Kai Havertz plays as a RW and drops a disasterclass...

Chelsea fans: ‘He’s being played in the wrong position’

washangiliaji wa hiki kikundi cha wauza blauz ,shumizi fc chelngongingo kuna nati zimelegea kichwani😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom