Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Tutawaona mech ijayo na LiverpoolMbona huwasemi Thiago na Chilwell?
Tutawaona mech ijayo na LiverpoolMbona huwasemi Thiago na Chilwell?
Nyie majeruhi saba mkafungwa sisi hatupo kamili tumeshindaTulikuwa na majeruhi 7 na wakatuongezea kwakumuumiza Leno, hawana uwezo wa kutupiga tukiwa kamili
Inabid kiungo acheze Guendouz![]()


Kwani wewe ulivyobomolewa na sheffield, west ham, newcastle, united nani lliyekulipia kisasi kama si sisi wakubwa zenu, muwe na adabu,Wapiga ramli mshafika. Badala mtushabikie sisi kaka zenu tuwalipie kisasi leo baada ya kuwabomoa msimu uliopita mnashabikia upande mbovu. Blue is the color![]()
Sawa hakuna shida ,ila kwa ule mpira ,Nyie majeruhi saba mkafungwa sisi hatupo kamili tumeshinda![]()




Kaka ako anapoongea unatakiwa upige kimya. Hujafundwa nyumbani kwenu?Kwani wewe ulivyobomolewa na sheffield, west ham, newcastle, united nani lliyekulipia kisasi kama si sisi wakubwa zenu, muwe na adabu,
Naona wamepiga hattrick.Havertz na Werner wanatamiwa kifunga kwenye debut yao leo ili kuondoa nuksi ya kuflop


floper kama floperHuyo kuku wa mayai hafai hata kufundisha utopolo... Umechelewa san kulijua hili mdogo wanguLampard hafai kuifundisha Chelsea, huyu kuku wa kazi gani kwenye kikosi hichi
Hamna timu pale mumepigwą kuanzia kocha hadi wachezajiKusajili kajitahidi sana lakini ubora wa kuifundisha nami sina imani naye hata kwa 50% kwa ubora
Kuanzia herufi ya kwanza sijui unaongea nini??? Unaumwa subiri upone uongee tukueleweNyie Chelsea kwa butua butua yenu hii ndo mna mpango nanyie kuchukua EPL au mna mpango wa kusindikiza??Sio kwa msako ule mlio sakiwa
halafu mwambie yule bishoo wenu Kai kuwa hapa ni EPL sio Bundasliga, hawezi kucheza mpira wa soft vile... Halafu yule dogo wa Brighton aliye kuwa anacheza kama mlinzi wa kulia anaitwa Lamptey ningekuwa na Dada ningempa
yule dogo ni zaidi ya kimbunga
kwangu mimi ndiye Man Of The Match.. ukiachilia mbali matokeo ya timu yake.
Kuhusu Keppa tutamjadili kesho![]()
Vipi Jana kai havertz arizabalagaKusajili kajitahidi sana lakini ubora wa kuifundisha nami sina imani naye hata kwa 50% kwa ubora



Huyo kashalambwa chenga sana game za uefa Bayer Leverkusen vs atletico Madrid....nenda YouTube ukaangalieSawa hakuna shida ,ila kwa ule mpira ,
Hivi tukishusha Limtu kama Partey, kai atawezana kweli?![]()
Hao mlionunua ni mikojo tu, mavi matupuNikisema hapa huyu Loftus Kuku hafai kuichezea Chelsea kuna watu wanatoka na kulalama eti apewe muda, sasa huyu kuku apewe muda mara ngapi.!?? Ameisha huyu kuku ona sasa anachofanya uwanjani
Huwez kuelewa maana umekaza ubongoKuanzia herufi ya kwanza sijui unaongea nini??? Unaumwa subiri upone uongee tukuelewe
Wacha kufananisha pepe na maviTeam ni ile ile tu tutaelewana mbna![]()
Yaan mlivyomtimua emery mechi ya kwanza mkacheza nao chini ya Yule msimamiz Wa mazoezi mkala kiminyo.....2 nd leg KOCHA wenu arteta mkala kiminyo kama kawaHapo waliokosekana ni kovacis na Pulisic , hao wengine usiwahesabie hawana tofauti na walioanza
Hao Brighton tutawapiga nyingi sana ,
Wasije wakadhan kocha ni tapeli emery ,