Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,790
- 4,284
Kila MTU ashinde mechi zake tumesajiri kushindaHarvertz is better than Brunocompare him to lingard
![]()
Kila MTU ashinde mechi zake tumesajiri kushindaHarvertz is better than Brunocompare him to lingard
![]()
Mwantesa United/Man U?Hilo taahira ni la kule kwenye pundamilia
The scores don't reflect performance is just a poor finishing in final third for Brighton's made Chelshit to surviveKila MTU ashinde mechi zake tumesajiri kushinda
Haya mmeshinda mechi ya kwanza.. Sio mbaya kwa timu yenu kama ile, maana sioni kama mtamfunga mkubwa yeyote msimu huu kwa mpira ule.Ubao unasoma ngapi? Tuanzie hapo kwanza kama ulibeti ada imekula kwako pole sana



Uko sawaKurt Zouma alikuwa ni underrated Defender lakini amegeuka kuwa tegemeo kwa Chelsea kwa sasa
Zouma is very far better than Maguire wa Manyumbu United
View attachment 1570149
Tupo vizuriTumeweza kupata point 3 bila ya hawa wachezaji
Na pia bila preseason ya kutosha
- Pulisic,
- Ziyech,
- Kovacic,
- Chilwell,
- Thiago Silva
- Azpilicueta
- Eduard Mendy
Je wakishakuwa fit na wachezaji wakapata warm up nzuri na wakazoeana, WATAISOMA NAMBA HAO
Huyo morinyo wako timu inatakakumfia mikononi,alafu wewe unamwamini kinoma."A lot of money is alot of problems" Jose Mourinho on Kai harvertz
We KWA akili yako sajili zote zilicheza Jana?Haya mmeshinda mechi ya kwanza.. Sio mbaya kwa timu yenu kama ile, maana sioni kama mtamfunga mkubwa yeyote msimu huu kwa mpira ule.
Chukueni hizi akili, ili baadae mpunguze machungu kama yakitokea.
1. Nimecheki game yenu ya kwanza mpaka mwisho. Kiufupi timu yenu ni ile ile. Yani pamoja na sajili mlizofanya bado hamna kitu.
2. Lile Karavati kuuziwa £72m mmepigwa nje nje! Yule msijipe moyo kuwa atazoea ligi.
Mchezaji wa EPL anakuaje nyonde nyonde vile?!
3. Lampard akiendelea na uchezaji huu, hamalizi msimu bila ya kufukuzwa.
Na ili mbadilike uchezaji ni lazima msajili na kocha.. La sivyo atawachelewesha.
4. Game inayofuata na Liverpool msijipe moyo.. Hiyo mnakufa tu!
Naona baada ya kuwataja Liva kuna watu wameshashtuka tayari
Huo ndio uhalisia bhana! Hauwezi kuuepuka.
LONDON IS RED!![]()
Pamoja na matusi yote aliyotutukana usiku huyu Ng'onda bado tuheshimu uwezo wake mdogo wa kufikiri na kuchambua mambo.Haya mmeshinda mechi ya kwanza.. Sio mbaya kwa timu yenu kama ile, maana sioni kama mtamfunga mkubwa yeyote msimu huu kwa mpira ule.
Chukueni hizi akili, ili baadae mpunguze machungu kama yakitokea.
1. Nimecheki game yenu ya kwanza mpaka mwisho. Kiufupi timu yenu ni ile ile. Yani pamoja na sajili mlizofanya bado hamna kitu.
2. Lile Karavati kuuziwa £72m mmepigwa nje nje! Yule msijipe moyo kuwa atazoea ligi.
Mchezaji wa EPL anakuaje nyonde nyonde vile?!
3. Lampard akiendelea na uchezaji huu, hamalizi msimu bila ya kufukuzwa.
Na ili mbadilike uchezaji ni lazima msajili na kocha.. La sivyo atawachelewesha.
4. Game inayofuata na Liverpool msijipe moyo.. Hiyo mnakufa tu!
Naona baada ya kuwataja Liva kuna watu wameshashtuka tayari
Huo ndio uhalisia bhana! Hauwezi kuuepuka.
LONDON IS RED!![]()
HONGERENI SANA WANA BLUES KWA USHINDI MNONO.
Nilishindwa kuangalia mechi, ila nimeamka asubuhi fasta kusikiliza matangazo ya BBC.
Habari za michezo mtangazaji kaanza na matokeo ya sheffied utd kufungwa, kiroho kinakonga nikasikia the BLUES wameibuka na ushindi wa 3 kwa 1 nikasema Ahsante Mungu.
Nimeangalia highlights youtube nimeona kama Keppa bado hajaimprove kudaka magoli ya mbali.
Lile goli la James ni nuclear bomb.
Hongera kwa Zouma kwa goli la 3.
Nimepitia comments zenu zote. Hongereni kwa uchambuzi/mawazo
Ni Mwanzo mzuri point 3 muhimu, hope uko mbele tutaimarika zaidi na zaidi Chilwell, Ziyech, Thiago, Pulisic, Kovacic wakijoin kikosini.

Nuclear bomb au siyo?