Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kiukweli BHA wanacheza mpira sana wakikutana na timu za kinyonge lazima watawafanyia vibaya. Japo tumeshinda na watu wanalalama hatujacheza vizuri ila kabla ya yote tumtambue mpinzani tulikutana naye hakua nyoronyoro na ndio maana muda wote wametuzidi ball posession.

Hawa jamaa zetu wa Arsenal wanaumia kwa sababu wao waligongwa na hawahawa BHA msimu uliopita kwa iyo wakahisi na sisi itakua kama wao tu ndio maana baadhi yao walikuja humu kupiga ramli.
 
Kiukweli BHA wanacheza mpira sana wakikutana na timu za kinyonge lazima watawafanyia vibaya. Japo tumeshinda na watu wanalalama hatujacheza vizuri ila kabla ya yote tumtambue mpinzani tulikutana naye hakua nyoronyoro na ndio maana muda wote wametuzidi ball posession.

Hawa jamaa zetu wa Arsenal wanaumia kwa sababu wao waligongwa na hawahawa BHA msimu uliopita kwa iyo wakahisi na sisi itakua kama wao tu ndio maana baadhi yao walikuja humu kupiga ramli.
Acha hizo wewe , subiri kama.msimu huu watapata hata point 1

Unaongelea msimu ulioisha chini ya unai,

Mech ya pili tukawa na majeruhi ,tena after Corona
 
Nyie Chelsea kwa butua butua yenu hii ndo mna mpango nanyie kuchukua EPL au mna mpango wa kusindikiza?? Sio kwa msako ule mlio sakiwa halafu mwambie yule bishoo wenu Kai kuwa hapa ni EPL sio Bundasliga, hawezi kucheza mpira wa soft vile... Halafu yule dogo wa Brighton aliye kuwa anacheza kama mlinzi wa kulia anaitwa Lamptey ningekuwa na Dada ningempa yule dogo ni zaidi ya kimbunga kwangu mimi ndiye Man Of The Match.. ukiachilia mbali matokeo ya timu yake.
Kuhusu Keppa tutamjadili kesho
 
KEPA kafanya save moja nzuri jana ila pia akatoa goli kizembe mno, angekuwa Mendy jana ingekuwa 3-0
Huyu mend mtakuja kumkataa mtasema bora Kepa


Nitakuja kukukumbusha.

Kai lingard havertz atapata tabu sana,

Timo Werner hana utofauti sana na Morata

Tegemeo lenu limebaki kwa Ziyech
 
Nyie Chelsea kwa butua butua yenu hii ndo mna mpango nanyie kuchukua EPL au mna mpango wa kusindikiza?? Sio kwa msako ule mlio sakiwa halafu mwambie yule bishoo wenu Kai kuwa hapa ni EPL sio Bundasliga, hawezi kucheza mpira wa soft vile... Halafu yule dogo wa Brighton aliye kuwa anacheza kama mlinzi wa kulia anaitwa Lamptey ningekuwa na Dada ningempa yule dogo ni zaidi ya kimbunga kwangu mimi ndiye Man Of The Match.. ukiachilia mbali matokeo ya timu yake.
Kuhusu Keppa tutamjadili kesho
Huyo dogo Lamptey ni zao la Academy ya Chelsea ila Jan tukamuuza kama ilivyo kwa Nketiah. Tunatoa vitu bora sana sisi.

Kuhusu game ya jana kama ingekua nyie ndio mmekutana nao wale mngekua na hali ngumu sana na pale kikosi hakijakamilika Ziyech, Pulisic, Kovacic, Azpilicueta, Thiago, Chilwell na kadhalika. Tukikamilika mtapiga ramli kila wiki nyie
 
Huyu mend mtakuja kumkataa mtasema bora Kepa


Nitakuja kukukumbusha.

Kai lingard havertz atapata tabu sana,

Timo Werner hana utofauti sana na Morata

Tegemeo lenu limebaki kwa Ziyech
Nimegundua unaponda kwa sababu tu umeamua huongei kimpira. Yaan TW unamfananisha na Morata? Tena yawezekana hata game ya jana hujacheck
 
Nyie Chelsea kwa butua butua yenu hii ndo mna mpango nanyie kuchukua EPL au mna mpango wa kusindikiza?? Sio kwa msako ule mlio sakiwa halafu mwambie yule bishoo wenu Kai kuwa hapa ni EPL sio Bundasliga, hawezi kucheza mpira wa soft vile... Halafu yule dogo wa Brighton aliye kuwa anacheza kama mlinzi wa kulia anaitwa Lamptey ningekuwa na Dada ningempa yule dogo ni zaidi ya kimbunga kwangu mimi ndiye Man Of The Match.. ukiachilia mbali matokeo ya timu yake.
Kuhusu Keppa tutamjadili kesho
Habari za siku dada Aaron, shemeji hajambo!
 
Huyo dogo Lamptey ni zao la Academy ya Chelsea ila Jan tukamuuza kama ilivyo kwa Nketiah. Tunatoa vitu bora sana sisi.

Kuhusu game ya jana kama ingekua nyie ndio mmekutana nao wale mngekua na hali ngumu sana na pale kikosi hakijakamilika Ziyech, Pulisic, Kovacic, Azpilicueta, Thiago, Chilwell na kadhalika. Tukikamilika mtapiga ramli kila wiki nyie
Hapo waliokosekana ni kovacis na Pulisic , hao wengine usiwahesabie hawana tofauti na walioanza

Hao Brighton tutawapiga nyingi sana ,

Wasije wakadhan kocha ni tapeli emery ,
 
Hapo waliokosekana ni kovacis na Pulisic , hao wengine usiwahesabie hawana tofauti na walioanza

Hao Brighton tutawapiga nyingi sana ,

Wasije wakadhan kocha ni tapeli emery ,
Waliwapiga mkiwa na Arteta. Wale watoyo balaa sana wanapeleka moto si mchezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom