Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo ndio tunaanza kuona madudu ya Lampard na Chelsea yake mbovu..

Leo ndio nahakikisha kile kiasi cha pesa cha £72m mlichopigwa kwa Kai.

Leo ndio nahakikisha kuwa Timo ni Tamy mweupe!

Tukutane muda wa mechi!
Nimekupandisha kiwango cha 3 bora kwa uchawi duniani kote Arsenal Fan
 
Nikisema hapa huyu Loftus Kuku hafai kuichezea Chelsea kuna watu wanatoka na kulalama eti apewe muda, sasa huyu kuku apewe muda mara ngapi.!?? Ameisha huyu kuku ona sasa anachofanya uwanjani
usijali kwa ushindani uliopo ataenda mkopo au yatamkuta kama ya Drink water
 
Nikisema hapa huyu Loftus Kuku hafai kuichezea Chelsea kuna watu wanatoka na kulalama eti apewe muda, sasa huyu kuku apewe muda mara ngapi.!?? Ameisha huyu kuku ona sasa anachofanya uwanjani
Jamaa sioni tena akirudi kwenye ile form yake labda aende kwa mkopo kwanza
Kwa sasa hatuna mda wa kulea lea

Mechi ijayo uwepo wa pulisic,na kovacic utafanya tim ianze kuonekana iko sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom