juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Lamptey anamtesa sana alonso kwa pace yake
Ongea baada ya mechi 10 sio uongee ndani ya dak 45Team ni ile ile tu tutaelewana mbna![]()
Alikataa kuongeza mkatabaHuyo dogo tulikosea sana kumuuza
Huwezi kumuwaisha mapema hivKwani Pulisic ilikuwaje tena ameshindwa kujumuishwa kwenye kikosi cha leo.?
Karavati anapiga pasi kwenye mabango tuHuyo karavati simuoni vp yumo kweli



