Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaan mlivyomtimua emery mechi ya kwanza mkacheza nao chini ya Yule msimamiz Wa mazoezi mkala kiminyo.....2 nd leg KOCHA wenu arteta mkala kiminyo kama kawa
Kai Havertz

0 goals
0 assists
0 shots
0 shots on target
56% pass completion
24 times dispossessed

Best debut of all time?

£100m
 
Mkuu ubao unasomaje hapo?
Najua Roho inawauma sana Chelsea kuwa mbele kwa goli 3
Mmebaki kuficha aibu yenu kupitia Kai.

Je Kai ndiyo anacheza uwanjani mwenyewe? Au ubora wa mchezaji upimwa kwa kufunga magoli?

Je, ninyi wachezaji wenu wanafunga magoli wote wanapocheza?

Acheni shobo kila mmoja apambane na timu yake
Wachezaji wenu mlionunua ni mimavi, sisi kule game ya kwanza gabriel kafunga, waillian assist mbili, yamepigwaaaaaaaaaaaaaa hayoooooooooooooooooo
 
Wachezaji wenu mlionunua ni mimavi, sisi kule game ya kwanza gabriel kafunga, waillian assist mbili, yamepigwaaaaaaaaaaaaaa hayoooooooooooooooooo
Hivi unapoongea mavi mavi unapenda eh!
 
Habari wana bluez wenzangu..

Nilioyaona jana.

Timu iko vizuri, sema tu fitness bado haijafikia ile inayotakiwa(siku zote gemu za mwanzo hua na shida sana)..

RLC jana alizingua sana inatakiwa akajipange hasa.

Havertz nae jana hakucheza vizuri , nadhani ugeni wa ligi na pia kuna kitu kitakua kinamtesa(matarajio.makubwa kwa epl kwake), price tag yake na sifa alizopewa ndio zitakazomtesa kwasasa.. Ila naamini ni mchezaji mzuri na atakua form muda sio mrefu.

All and all,, nimefurahi kitu kimoja tumeshinda japo hatukucheza vizuri (Na hivi ndo timu bingwa zinavocheza) hata kama hawajaji"commit 100% matokeo yanapatikana..
Sipati picha tukiwa on form nahisi vichapo vitakua vikali sana

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom