ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,063
Majibu ya Klopp, Niliboreka niliposikia anasema hivyo. Maoni yake ya kushangaza, Yeye miaka minne na nusu katumia pesa nyingi leo Chelsea ikitokea kwenye ban ikitumia pesa kuimarisha timu anaita timu inaongozwa na tajiri mmoja kutoka nje, hapo akimponda Roman Abramovich
Hivi wakati wao wanatumia hao matajiri wa Kimarekani hawana say?
Ni wauni tu