Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

[https://pbs]

Fabrizio Romano

@FabrizioRomano

·

2h

Thiago Silva has been offered to Chelsea by his agent days ago. Chelsea are seriously considering him as an option but Thiago wants some days more to decide his next club. He’s focused on the final then he’ll choose. Also Fiorentina and 3 more clubs contacted him.

[https://abs-0]

#CFC #Thiago

Ni free agent siyo mchezaji wa kununua.
Duh! mnanunua bibi la miaka 35
Kama KINGE kimewashinda kutafsiri mnasama ili msaidike. Soma kwa sauti hii statement

Thiago Silva has been offered to Chelsea by his agent days ago.
 
Toka mwanzo nasema Lampard hafai kuifundisha Chelsea anasajili mtu kama Chilwell hivi kweli hii takataka ya nn kwetu. Dogo Sergio Reguilon hamuoni kweli tena anapatikana kwa bei nzuri tu
Mbona Conte alimuuza Costa akamnunua Morata
Mourinho alimuuza Mata ambae alikuwa player of the year mara 2 mfululizo

Kila kocha anawachezaji wake na anaohisi watampa mafanikio based na plan yake

Lampard ni mtu sahihi kuwepo hapo mda utaongea tu

Katika kitu nilichogundua unawachukia wachezaji wa kingereza

Nadhan hata wakati lampard,j cole,garry cahil na hata ashley cole ingekuwa sasahiv wanasajiliwa nadhan ungepinga sajili zao
 
Sisi mashabiki lazima tuongee, huwezi kutuletea takataka kwenye klabu yetu kisa tu ww unampenda. Chilwell hapaswi kuichezea Chelsea kiwango chake ni kidogo sana, msimu ujao si wa kuimprove ni msimu wa kuchukua mtaji ndio maana watu kama Ziyech, Werner, Havertz n.k wakaletwa.

Unaposema Alex Telles ana miaka 27, mbona Thiago ana 35 next wiki anakamilisha usajili.
Unapohisi takataka jiulize why man utd,man city wote hawa waliwahi onesha interest kwa chilwel
Jiulize anakitu gani mpk club zote hizo zilikuwa zinamtaka

Mda utaongea
IMG_20200822_113154.jpg
 
Chillwel pale tuna pigwa kabisaa £50 nying sana kwa yule dogo

But upande wa rice yule anapiga Kaz san. Kawzd San wakin jorginho pale Chelsea
Kupigwa hamjaanza leo, huo ni mwendelezo tu
 
Sisi mashabiki lazima tuongee, huwezi kutuletea takataka kwenye klabu yetu kisa tu ww unampenda. Chilwell hapaswi kuichezea Chelsea kiwango chake ni kidogo sana, msimu ujao si wa kuimprove ni msimu wa kuchukua mtaji ndio maana watu kama Ziyech, Werner, Havertz n.k wakaletwa.

Unaposema Alex Telles ana miaka 27, mbona Thiago ana 35 next wiki anakamilisha usajili.
Unaondoa Luiz 32 unaleta Silva 36

Huu ni utopolo
 
Mbona Conte alimuuza Costa akamnunua Morata
Mourinho alimuuza Mata ambae alikuwa player of the year mara 2 mfululizo

Kila kocha anawachezaji wake na anaohisi watampa mafanikio based na plan yake

Lampard ni mtu sahihi kuwepo hapo mda utaongea tu

Katika kitu nilichogundua unawachukia wachezaji wa kingereza

Nadhan hata wakati lampard,j cole,garry cahil na hata ashley cole ingekuwa sasahiv wanasajiliwa nadhan ungepinga sajili zao
Huo ndio ujinga ninaouchukia, wakati ligi ni ya kwao. Ni sawa na watu baki wa nje waje waanze kwuachukia akina mkude, kapombe, john bosco, chama, erasto nyoni na wengineo na kuanza kuwatukuza akina Kagere, Harun Nyonzima
LIgi ni ya Uingereza, KOcha wa Uingereza mapato yao, wanajenga uchumi wao, sisi ni wavamizi tu, tumeacha kushabikia timu zetu za Bongo tukaamua kushabikia timu zao. Tuwe wastaarabu na tuheshimu uchaguzi wao kwenye ligi yao. Sera wakiweka ya kuwapendelea wachezaji wao ili wajenge timu yao ya Taifa ni sawa, ni wao kwenye ligi yao
 
Huo ndio ujinga ninaouchukia, wakati ligi ni ya kwao. Ni sawa na watu baki wa nje waje waanze kwuachukia akina mkude, kapombe, john bosco, chama, erasto nyoni na wengineo na kuanza kuwatukuza akina Kagere, Harun Nyonzima
LIgi ni ya Uingereza, KOcha wa Uingereza mapato yao, wanajenga uchumi wao, sisi ni wavamizi tu, tumeacha kushabikia timu zetu za Bongo tukaamua kushabikia timu zao. Tuwe wastaarabu na tuheshimu uchaguzi wao kwenye ligi yao. Sera wakiweka ya kuwapendelea wachezaji wao ili wajenge timu yao ya Taifa ni sawa, ni wao kwenye ligi yao
Watu wanasahau ile ni kampuni/ taasisi ya kiingereza+ FA wanasheria zao kwenye squad yako lzm uwe n wachezaji wazawa kama 8 ...na first eleven yako asipokuwa muingereza I think unapigwa faini mwsho wa msimu
 
Alex Telles ni mzuri 2X ya Chilwell na ni cheaper 2X ya Chilwell kwa nini tusimsajili huyo
 
Unaondoa Luiz 32 unaleta Silva 36

Huu ni utopolo
We jamaa unaizalilisha tasnia ya hesabu na mpira wa miguu kabisa kwa ujumla. Utawezaje kufananisha umri na vipaji vya watu. We hujaona huko Slatan Ibrahimovic mechi 18 goli 10 na assits 5 na ana miaka 39 by october?
 
Leicester wanauza Chilwell £50m halafu wanavuta Tagliafico kwa £25m Bonge la biashara maana For me Tagliafico is far better than Chilwell uchochoro

 
NAAM

Kesho ndio mwisho wa ubishi kwenye uefa

Leo ngoja niwalete kikosi bora cha

Sajili Za Kitapeli Episodess
Msimu huu kwenye uefa

1.Kepa kama kepa pazia la hekalu
2.Elder millitao real
3.Emerson palemer mlaji kama mlaji mshahara

4.Zuma a.k.a mbeba madumu ya mafuta ya taa zizini

5.John stones mlaji kama mlaji mshahara

6.Ander Herrera

7. Eden hazard wengi mnashangaa jina lake huku ila huyu ni mlaji mshahara msimu huu kapatia kweli

8.Aron Ramsey juventus mzururaji ovyo

9.Tambi Abraham mcheza gololi kwank streka hana hata shoot on target nje ya box

10.Phillip coutinho huyu jaama bwana kajificha kwenye kivuli cha zile goli mbili dhidi ya barca ila ni mlaji mzuri wa mshahara

11.Mariano Diaz mrithi wa ronaldo

Banch.sabu caballero.Gotze.martin brathiwhite.Tanguy ndombele. Giovan lo celso .mbwana samatta huyu pale genk mwanzo hatua ya makundi alikua mzuraji mzuri uwanjani

Kocha.Frank lampard
Msaidizi wake .quique seitien mzee wa nane nane

Najua wengi mnajiuliza mbona minamino hayupo hapo juu we uliona wapi Mafia akacheza soccer hichi sio kikosi cha mafia wa kijapan ni cha wachezaji mpira

Nakwenda zangu
FB_IMG_1598114295318.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom