Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

KATIKA PITAPITA ZANGU

Nikatia mguu ndani ya msimbazi nikakutana na huyu MTU Onyango

Unambiwa huyu jaama Eti anayo miaka 27

Hapa mnyama kapigwa live huyu ni babu ake na ndemla kabisa

Nakwenda zangu
FB_IMG_1598114295318.jpg
 
Katika pitapita zangu jioni hii

Mwana kulitafuta mwana kulipata nikatia mguu ndani ya zizini nikakutana na huyu MTU Batshuayi

Hapa ndugu zangu wa Chelsea waliingizwa cha kiume sio chakike
Huyu ni moja kati ya wacheza gololi wazuri tu

Nakwenda zangu
FB_IMG_1598114557333.jpg
 
Chelsea kuweni makini na matapeli

PICHANI

Huyu jaama anaitwa Ali dia

Moja kati ya Sajili Za Kitapeli EpisodessKubwa Kulikoo
Huyu jamaa bwana aliwadanganya Southampton kua yeye ni streka mwenye uwezo mkubwa tena akasema anao undugu na George. Weh kumbe Hakuna Kitu Hukuu

Kwani baada ya kusajiliwa alikua kituko mazoezini kuliko hata minamino

Lakini kocha akawa anamuamini sasa kwenye ligi ndio vituko zaidi

Unambiwa baada ya kuingia kutokea sabu kwenye mechi ya EPL mda mchache tu baada ya kuingia akajifanyia sabu

Huyo ndio tapeli Ali dia

Nakwenda zangu
FB_IMG_1598115644486.jpg
 
Katika pitapita zangu jioni hii

Mwana kulitafuta mwana kulipata nikatia mguu ndani ya zizini nikakutana na huyu MTU Batshuayi

Hapa ndugu zangu wa Chelsea waliingizwa cha kiume sio chakike
Huyu ni moja kati ya wacheza gololi wazuri tu

Nakwenda zanguView attachment 1545075
Mkuu nikikuuliza swali naomba unijibu usije kuwa unacopy na kupaste hata hufikirii. Unajua wakati tunamsajili Batshuayi alikua na stats gani? Nini kinapekea timu kushawishika kumsajili mchezaji?

Mchezaji ambaye nahisi tunaelekea kupigwa na Chilwell maana hana stats za kutisha na bado anauzwa bei.
 
NAAM

Kesho ndio mwisho wa ubishi kwenye uefa

Leo ngoja niwalete kikosi bora cha

Sajili Za Kitapeli Episodess
Msimu huu kwenye uefa

1.Kepa kama kepa pazia la hekalu
2.Elder millitao real
3.Emerson palemer mlaji kama mlaji mshahara

4.Zuma a.k.a mbeba madumu ya mafuta ya taa zizini

5.John stones mlaji kama mlaji mshahara

6.Ander Herrera

7. Eden hazard wengi mnashangaa jina lake huku ila huyu ni mlaji mshahara msimu huu kapatia kweli

8.Aron Ramsey juventus mzururaji ovyo

9.Tambi Abraham mcheza gololi kwank streka hana hata shoot on target nje ya box

10.Phillip coutinho huyu jaama bwana kajificha kwenye kivuli cha zile goli mbili dhidi ya barca ila ni mlaji mzuri wa mshahara

11.Mariano Diaz mrithi wa ronaldo

Banch.sabu caballero.Gotze.martin brathiwhite.Tanguy ndombele. Giovan lo celso .mbwana samatta huyu pale genk mwanzo hatua ya makundi alikua mzuraji mzuri uwanjani

Kocha.Frank lampard
Msaidizi wake .quique seitien mzee wa nane nane

Najua wengi mnajiuliza mbona minamino hayupo hapo juu we uliona wapi Mafia akacheza soccer hichi sio kikosi cha mafia wa kijapan ni cha wachezaji mpira

Nakwenda zanguView attachment 1545072
Umeandika kiushabiki sio kosa lako
 
Facts from 2019/20

SEASON SUMMARY

  1. Premier League – fourth
  2. FA Cup – runners-up
  3. League Cup – round four
  4. Champions League – round of 16
  5. UEFA Super Cup – runners-up
  6. Premier League 2 – winners
  7. Checkatrade Trophy – round two
  8. UEFA Youth League – group stage
  9. U18s Premier League – runners-up
  10. FA Youth Cup – currently in the semi-final, future of competition TBC
  11. U18s Premier League Cup – semi-final
  12. FA Women’s Super League – winners
  13. Women’s FA Cup – currently in the quarter-final, still to be completed
  14. Continental League Cup – winners
 
Record runs
  • Our club record 16-game unbeaten run in Europe (excluding shoot-outs) ended at home to Valencia in the Champions League group stage.
  • A new club record 10-game unbeaten run on the road in Europe came to an end at Bayern Munich in the Champions League round of 16 second leg.
  • The team achieved seven successive wins on the road in all competitions whilst in the top flight, a new club record, matching the seven achieved in 1988/89 in Division Two under Bobby Campbell.
  • Chelsea scored three or more goals in four successive top-flight league matches on the road for the first time in our history: Norwich 3-2, Wolves 5-2, Southampton 4-1, Burnley 4-2.

The kids are alright
  • Against Grimsby in the Carabao Cup the Blues named four teenagers in the starting line-up for the first time since 1980, and in the same game used six teenagers for the first time in our history.
  • At 20 years and 311 days Mason Mount became the youngest Chelsea player to score for England since Jimmy Greaves in November 1960 against Wales (20 years, 277 days).
  • Mason Mount became the first Chelsea homegrown to make his first team debut and complete 50 appearances in the same season (away to Liverpool).
  • Reece James (19 years 332 days) became Chelsea’s youngest ever Champions League goalscorer when he equalised in our 4-4 draw with Ajax in the group stage.
  • Watford at home was the first time ever Chelsea have brought on four subs in a match that were all graduates of our Academy - Tammy Abraham, Callum Hudson-Odoi, Ruben Loftus-Cheek and Billy Gilmour.
  • Fikayo Tomori has become the 50th player to feature for England in a senior international as a Chelsea player after making his debut as an 84th minute substitute in their 4-0 win in Kosovo.
  • Tammy Abraham scored 12 away goals in all competitions – the most from a Chelsea player since Didier Drogba (18) in 2009/10.
  • Abraham is the first homegrown to scorer 15 league goals in a top-flight season since Tommy Langley (15) in 1978/79 (Clive Walker netted 16 in 1981/82 in Division Two). The last homegrowns to manage 18 in all competitions over a top-flight season were Peter Osgood with 31 and John Hollins 18 - both in 1971/72.
 
Katika umri huu wa 36 Thiago Silva anawapita CB wengi kwenye haya maeneo
  1. Passing isipokuwa crossing
  2. Interceptions
  3. Heading
  4. Marking
  5. Tacling
  6. Stamina na nguvu
  7. Ball control
  8. Kuruka
Sio mzuri kwenye haya maeneo
  1. Crossing
  2. Kuserereka na mpira
  3. Kwenye kupiga mipira kama penalting, free kicks nk isipokuwa mipira ya vichwa yuko vizuri
Maoni yangu
Kama atasajiliwa atatatua shida tuliyonayo kwa muda mfupi ili kutoa muda wa CB wachanga kukomaa na au kuruhusu kufanya usajili mkubwa kule nyuma msimu ujao
 
Hatima ya takataka Chilwell, Babu Thiago na wonder kid Havertz itajulikana kuanzia kesho mpka Ijumaa.
(Kuhusu chilwell) Mkuu tukubali tu haina jinsi ...labda chilwell aje kuimprove chini ya lampard kutokana na umri wake...afu pia huyu kashaizoea ligi kwahyo anaweza kuchukua muda Mdogo kuadapt tofauti labda na kina telles, tiaglafico, reguilon ambao watakuwa gamble na wanaweza wakahitaji muda mrefu kuadapt kwa kuwa wametoka ligi tofauti....kuhusu takwimu tagliafico na telles wametoka kwenye dominant sides ktk ligi zao( ajax na Porto) so huenda ndo maana wana takwimu za kutisha ....reguilon tungempata ingekuwa poa ila tukubali tu ndo imeshatokea
 
Bora huyu bhana. Silva ni matured kina Dunk, Tomori na Christensen watajifunza kitu


We jamaa achaga vituko basi, juzi tu ziliwekwa habari hapa zinazomuhusu huyu Kibabu ukazikanusha
Leo unamuona bora.
Kabla hujajua ukweli wa jambo usikurupuke

Kambi ya vikongwe hii,

Bado kuna golikipa mmoja ana miaka 38 mnamfukuzia usije sema sijakwambia
 
Katika umri huu wa 36 Thiago Silva anawapita CB wengi kwenye haya maeneo
  1. Passing isipokuwa crossing
  2. Interceptions
  3. Heading
  4. Marking
  5. Tacling
  6. Stamina na nguvu
  7. Ball control
  8. Kuruka
Sio mzuri kwenye haya maeneo
  1. Crossing
  2. Kuserereka na mpira
  3. Kwenye kupiga mipira kama penalting, free kicks nk isipokuwa mipira ya vichwa yuko vizuri
Maoni yangu
Kama atasajiliwa atatatua shida tuliyonayo kwa muda mfupi ili kutoa muda wa CB wachanga kukomaa na au kuruhusu kufanya usajili mkubwa kule nyuma msimu ujao
Vikongwe Fc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom