Batshuayi














Umepiga msumari kwenye kidonda
Mkuu nikikuuliza swali naomba unijibu usije kuwa unacopy na kupaste hata hufikirii. Unajua wakati tunamsajili Batshuayi alikua na stats gani? Nini kinapekea timu kushawishika kumsajili mchezaji?Katika pitapita zangu jioni hii
Mwana kulitafuta mwana kulipata nikatia mguu ndani ya zizini nikakutana na huyu MTUBatshuayi
Hapa ndugu zangu wa Chelsea waliingizwa cha kiume sio chakike
Huyu ni moja kati ya wacheza gololi wazuri tu
Nakwenda zanguView attachment 1545075
Kweli?Mkataba wa miaka 2 kwa Thiago Silva huoooooo!!
Umeandika kiushabiki sio kosa lakoNAAM
Kesho ndio mwisho wa ubishi kwenye uefa
Leo ngoja niwalete kikosi bora cha
Sajili Za Kitapeli Episodess
Msimu huu kwenye uefa
1.Kepa kama kepa pazia la hekalu
2.Elder millitao real
3.Emerson palemermlaji kama mlaji mshahara
4.Zuma a.k.a mbeba madumu ya mafuta ya taa zizini
5.John stones mlaji kama mlaji mshahara
6.Ander Herrera
7. Eden hazard wengi mnashangaa jina lake huku ila huyu ni mlaji mshahara msimu huu kapatia kweli
8.Aron Ramsey juventus mzururaji ovyo
9.Tambi Abraham mcheza gololi kwank streka hana hata shoot on target nje ya box
10.Phillip coutinho huyu jaama bwana kajificha kwenye kivuli cha zile goli mbili dhidi ya barca ila ni mlaji mzuri wa mshahara
11.Mariano Diaz mrithi wa ronaldo
Banch.sabu caballero.Gotze.martin brathiwhite.Tanguy ndombele. Giovan lo celso .mbwana samatta huyu pale genk mwanzo hatua ya makundi alikua mzuraji mzuri uwanjani
Kocha.Frank lampard
Msaidizi wake .quique seitien mzee wa nane nane
Najua wengi mnajiuliza mbona minamino hayupo hapo juu we uliona wapi Mafia akacheza soccer hichi sio kikosi cha mafia wa kijapan ni cha wachezaji mpira
Nakwenda zanguView attachment 1545072
Bora huyu bhana. Silva ni matured kina Dunk, Tomori na Christensen watajifunza kituLewis Dunk kapewa mkataba wa miaka 5
Oooh nilijua ni sisi tumemsajiliKapewa mkataba na timu yake sio Chelsea
(Kuhusu chilwell) Mkuu tukubali tu haina jinsi ...labda chilwell aje kuimprove chini ya lampard kutokana na umri wake...afu pia huyu kashaizoea ligi kwahyo anaweza kuchukua muda Mdogo kuadapt tofauti labda na kina telles, tiaglafico, reguilon ambao watakuwa gamble na wanaweza wakahitaji muda mrefu kuadapt kwa kuwa wametoka ligi tofauti....kuhusu takwimu tagliafico na telles wametoka kwenye dominant sides ktk ligi zao( ajax na Porto) so huenda ndo maana wana takwimu za kutisha ....reguilon tungempata ingekuwa poa ila tukubali tu ndo imeshatokeaHatima ya takataka Chilwell, Babu Thiago na wonder kid Havertz itajulikana kuanzia kesho mpka Ijumaa.
Bora huyu bhana. Silva ni matured kina Dunk, Tomori na Christensen watajifunza kitu













Vikongwe FcKatika umri huu wa 36 Thiago Silva anawapita CB wengi kwenye haya maeneo
Sio mzuri kwenye haya maeneo
- Passing isipokuwa crossing
- Interceptions
- Heading
- Marking
- Tacling
- Stamina na nguvu
- Ball control
- Kuruka
Maoni yangu
- Crossing
- Kuserereka na mpira
- Kwenye kupiga mipira kama penalting, free kicks nk isipokuwa mipira ya vichwa yuko vizuri
Kama atasajiliwa atatatua shida tuliyonayo kwa muda mfupi ili kutoa muda wa CB wachanga kukomaa na au kuruhusu kufanya usajili mkubwa kule nyuma msimu ujao



Anatolewa babu Luiz anakuja Kikongwe SilvaHatima ya takataka Chilwell, Babu Thiago na wonder kid Havertz itajulikana kuanzia kesho mpka Ijumaa.
Short term plan huyo mzee experience yake itatusaidia kwa huo muda ....Anatolewa babu Luiz anakuja Kikongwe Silva
Here we go.