Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu huu mwendo uliorudi nao naomba uendelee nao usije ukakimbia kama kipindi kile. Uliporudi ukabadilisha na jina

Timu yako tunaijua huwa mnapoteana nyie sasa ndio mnaongoza kwenye majukwaa ya wanaume ikifika mwisho wa Oktoba mpaka wewe unalalamikiwa kwa nini husajili
Dah hawa mid table team wana imani sijawahi kuona ....kuna arsenane nyingine ilikuwa inawaza kuwa invincible
 
IMG-20200820-WA0008.jpg
IMG-20200820-WA0009.jpg
 
Mkuu huu mwendo uliorudi nao naomba uendelee nao usije ukakimbia kama kipindi kile. Uliporudi ukabadilisha na jina

Timu yako tunaijua huwa mnapoteana nyie sasa ndio mnaongoza kwenye majukwaa ya wanaume ikifika mwisho wa Oktoba mpaka wewe unalalamikiwa kwa nini husajili
Sijawahi kubadili jina mm ,niliongeze neno Arsenal

Kama nilibadili umenijuaje
 
Mashabiki wa Arsenal huwa wana nguvu kabla ligi haijaanza. Ikiisha anza wanapoteana kama Mazombie
 
Nimejaribu kuicheza ile mechi ya marudiano chelsea vs Bayern Munich kwenye PlayStation lakin bado nimeshindwa kuifunga Bayern had nilipo badilisha setting nikaweka beginner ndo at least nikafanya comeback.
Nafikiri haya matokeo ya Corona kusimamishwa kwa ligi ndo matokeo pekee yaliyo tufanya Chelsea angalau tuwe na furaha kidogo
FB_IMG_1597908863828.jpg
 
Ngoja niwachambue ndugu zangu wa zizini

Kuhusu usajili wa timo Werner na hakim ziyech

Ndio timo anajua kufunga kama msimu ulio kwisha wa bundesliga kawa namba mbili kwa kufunga goal 28 sio mbaya kwa streka

Kama huyu ndio anatakiwa hapa kweli mlilamba dume hilo halina shaka

Kingine kwa hakim hapa pia mlilamba Dume kwani hakim yeye kufunga na assist anaweza kazi itakua ni kumlisha timo palembele

Lakini nawakumbusha huku nyuma hakuna kitu jamani

Timo anaweza kufunga goal 30 kwa msimu huku nyuma kwa kina kepa

Wanaweza kucheza mechi kumi wakaruhusu goal 40 kabla hata msimu haujaisha

Kingine na huyu kepa ndie atakua mpinzani wa timo katika kufunga magoli kwani yeye timo

Akifunga kepa yeye anaruhusu tu huku nyuma mwisho wa msimu wanaweza kulingana kila kitu kuanzia magoli hadi assist

Yani hapo ndugu zangu wa Chelsea wanajenga nyumba bila msingi na msingi ni huku nyuma

Na nyumba pasipo msingi itanguka

Ushauri wangu ni kwamba pesa ya kumsajili kai bora watafute beki na kipa

Kuliko kuja kuona kepa na kina Zuma wakishindana kwenye kufunga magoli na mastreka wao na assist huku nyuma wakichoma

Kingine ziyech ni mzuri mzoefu mwenye ubora kuliko kai

Ukweli usemwe kai hana umuhimu wowote kama beki na kipa pale zizini

Lampard anatakiwa kushtukia huu mchezo kwa kai

Mfano embu angalia mbugani pamoja na Bruno kuwasaidia kupiga penalty huku nyuma

Magwaya na lindelof wanashindana naye kufunga au kutoa assist kwa timu pinzani

Yangu ndio hayo

Nakwenda zangu
FB_IMG_1597562714192.jpg
 
Mazungumzo ya ziyech .kovacic.na rudger

Kovacic.unamuona huyurudger ndio mchomaji wa zizi sikuiz nayeye kaingia kwenye group LA kepa na zouma yeye sikuiz anawasidia kuchoma makaratasikepa na zuma wabebaji mafuta na kibiriti

Rudger .usinifoke we kovacic jamaa muongo sana wewe wala sio Mimi mchomaji?Kepa Alizabalaga Mkaa Golini

Ni kepa pamoja na Zuma

Ziyech.duh kumbe ndio hivyo alaa
FB_IMG_1597954867780.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom