teh teh tehHuyu takataka Chilwell wa kazi gani sasa, inamaana huyu Lampard ameshindwa kabisa kumchukua mnyama Alex Telles ana dogo Sergio Reguilon.!!!!?? Anatuletea hii takataka kweli.!!!!!
Rice msmu huu kapeform vzrteh teh teh
na tukitoka hapo tunaenda kwa declan rice, mrithi wa jorginho
england FC
Labda ucheze na Arsenal Tula,lakini ukicheza na Arsenal london tunakubinua km WembleyHaaahaaaa Msimu ulioisha tu hamjatufunga kwenye ligi...... Hyo boxing day mjipange ligi ikishachanganya kuna pulisic-werner- ziyech....kwa Yale matahira ya pale nyuma naamini kuna penalty moja ...na goli zingine km 3
Haahaaa labda berekum chelseaLabda ucheze na Arsenal Tula,lakini ukicheza na Arsenal london tunakubinua km Wembley
Chillwel pale tuna pigwa kabisaa £50 nying sana kwa yule dogoUchochoro chilwell
Hawa waingereza watawauweni,
Leicester bhana kila msimu lazima ampige mtu
Kama lamps anahitaji LB amchukue Reguilon huyu wa Sevilla , LB ya kisasa kabisa anapatikana kwa £25mChillwel pale tuna pigwa kabisaa £50 nying sana kwa yule dogo
But upande wa rice yule anapiga Kaz san. Kawzd San wakin jorginho pale Chelsea
waingereza wanajua kuitumia vizuri concept ya demand na supplyKama lamps anahitaji LB amchukue Reguilon huyu wa Sevilla , LB ya kisasa kabisa anapatikana kwa £25m
Regulion yuko vzr sana anyway mwsho wa siku tunkubl kilichopo japo hukupendiKama lamps anahitaji LB amchukue Reguilon huyu wa Sevilla , LB ya kisasa kabisa anapatikana kwa £25m
Chilwel ni target ya lamp vile vile ashley cole naye alimpendekezaHuyu takataka Chilwell wa kazi gani sasa, inamaana huyu Lampard ameshindwa kabisa kumchukua mnyama Alex Telles ana dogo Sergio Reguilon.!!!!?? Anatuletea hii takataka kweli.!!!!!
Stil ni player wa real madrid yupo kwa mkopo hapoKama lamps anahitaji LB amchukue Reguilon huyu wa Sevilla , LB ya kisasa kabisa anapatikana kwa £25m
Hembu acheni zenu hivi wale wakina willock,nketia huwa hamuwaoni au wenyewe sio waingereza na arteta si muispain yule mbona huwa anawapangaUchochoro chilwell
Hawa waingereza watawauweni,
Leicester bhana kila msimu lazima ampige mtu
Katika mpira na pia kimkakati miaka 27/28 bado ni miaka ya kutosha kuleta matokeo tarajiwa. Huyo Telle anaweza pewa mkataba wa miaka 4, huo ni mkataba mrefu sana. Pia Reguillion ni mchezaji wa mkopo, anawza uzwa muda wowote pesa nzuri ikitolewaHakuna sababu itajustify kwa nini Lampard ampende Chilwell zaidi ya Teles au ReguillionChilwel ni target ya lamp vile vile ashley cole naye alimpendekeza
Miaka ya nyuma tulikuwa tunalalamika tim inasajili mchezaji ambaye kocha hamtaki mwaka huu lamps anapewa kila mchezaj anayemtaka bado tunalalamika
Telles anamiaka kama 27-28 hiv reguillon ni player wa real madrid aliyepo kwa mkopo what if unamsajil the baada ya miaka 2-3 real wanamtaka coz marcelo hana misim 4 mbele
Chilwel ndio kwanza anamiaka 23 stil anaroom ya kuimprove na atakaa darajan zaid ya misim 8
Sasa hujui Nketiah na willock walikuwa wanapangwa sababu Arteta ndio kawakuta, subiri analeta watu wake uone kama watapangwa zaid ya carabaoHembu acheni zenu hivi wale wakina willock,nketia huwa hamuwaoni au wenyewe sio waingereza na arteta si muispain yule mbona huwa anawapanga
Chilwel ataimprove mda utaongea tu
Ukimtoa Chilwel
Je Werner,Ziyech hawa ni waingereza
Vipi kuhusu Kai je na yeye ni muingereza