Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sure hii ndo golden chance maana timu nyingi zipo hovyo kiuchumi kutokana na effect za pandemic....ukienda kumuulizia next summer unawakuta real Madrid na Bayern wameshajipanga
Bayern walishasema kabisa msimu huu hawana muda na Kai ,ila akibaki tu asipouzwa , msimu ujao atabakiza mwaka mmoja watamchukua kwa bei ndogo kama kawaida yao ,
 
Kwahuu usajili naamini utajinasua toka mid-table team......VP partey na coutinho wameshatua?
Arsenal sio mid table team

Tumeshika nafas ya 8 toka miaka ya 1970s

Na nikutokana na hali iliyotokea timu ilifundishwa na makocha karibu watatu msimu mzima

Chelsea aliposhika nafas ya 10 alikuwa mid table team ?
 
Changamoto iliyopo wachezaji wetu hawauziki kwa haraka na hii changamoto ya Corona timu nyingi ziko zohofu hali zinataka tuwape wachezaji kwa mkopo.

Barkely
Zappacosta
Joginho
Drinkwater
Mosses
Batshuayi
Keppa
Tomori
Ermason
Rudger
Christensen
Bakayoko

Hapa unapata pesa gani ya haraka? Jogniho alikuwa hot sokoni baba yake amefukuzwa kazi Juve.

Labda tuwauze Zouma, Kante, Odoi, Mount, Alonso tunaweza pata pesa ya haraka.
Hao tukiwapeleka arsenal kwa mkopo siyo mbaya. Wakapate uzoefu uko..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Peter Cech and Marina have told Frank Lampard to give Kepa another chance to prove himself

Cech has even told Frank Lampard that he will go in training to help Kepa come to his best and on the other hand, Marina vow to get Lampard any defender he wants.
#CFC

Kwa hali inavyoonekana kwa sasa tutaendelea kuwa na Kepa then anaweza sajiliwa CB
 
Uzuri ni kuwa Havertz ni optional ikitokea deal limeshindikana haita affect kitu kwa sababu yupo Mount. Kwa iyo nguvu ya usajili itapelekwa kwa backline. GK, CB na LB
Sio tu Mount, kuna Odoi, Kuna Ziyech anacheza karibu position zote Havertz angekuja kucheza, Havertz ni mzuri ila optional, tuelekeze nguvu kwa mabeki na kipa
 
Changamoto iliyopo wachezaji wetu hawauziki kwa haraka na hii changamoto ya Corona timu nyingi ziko zohofu hali zinataka tuwape wachezaji kwa mkopo.

Barkely
Zappacosta
Joginho
Drinkwater
Mosses
Batshuayi
Keppa
Tomori
Ermason
Rudger
Christensen
Bakayoko

Hapa unapata pesa gani ya haraka? Jogniho alikuwa hot sokoni baba yake amefukuzwa kazi Juve.

Labda tuwauze Zouma, Kante, Odoi, Mount, Alonso tunaweza pata pesa ya haraka.
Zouma, Kante, Mount, Alonso NO NO
 
Kuna jitu linaenda kupigwa €100m soon,


Ladies and gentlemen,
Be attention.....

DingDong
Nyie mnyamaze na mkomae na akina Luiz na Willian. Wanaume wanapoenda shopping inabidi nyie mgeuke kuwa watazamaji tu
Hili dirisha mwaka huu ni la Chjelsea tu, Buldoza wa nguvu, wengine wameadhiriwa na Corona, hakuna cha Real Madrid, Barcelona, naona Manure kidogo ndio wanaokohoa ila kwa Jadon Sancho wamekwama
 
Usajili wowote wa kipa mzuri utafuta deal la harvetz. Hapo nachoona Harvetz atatua na tutasajili LB.

Namuona CHILWELL akitua darajani. Sidhani kama tutamsajili CB jiandae kisaikolojia kuendelea kuwaona RUDGER, CHRISTENSEN & ZOUMA kwenye defensive msimu ujao


PILISIC..........WERNER.............ZIYECH

KOVACIC........KANTE............HARVETZ

CHILWELL...RUDGER....ZOUMA...AZIPU


..........................KEPA..............................
Ila katika sajili zote asisajilkiwe Chilwell kwa bei hiyo kama anasajiliwa iwe chini ya 40Mil, hana anachomzidi Alonso
 
Kai harvertz hana alichomzidi Nicolas Pepe subirini dawa iwaingie
 
Usajili wowote wa kipa mzuri utafuta deal la harvetz. Hapo nachoona Harvetz atatua na tutasajili LB.

Namuona CHILWELL akitua darajani. Sidhani kama tutamsajili CB jiandae kisaikolojia kuendelea kuwaona RUDGER, CHRISTENSEN & ZOUMA kwenye defensive msimu ujao


PILISIC..........WERNER.............ZIYECH

KOVACIC........KANTE............HARVETZ

CHILWELL...RUDGER....ZOUMA...AZIPU


..........................KEPA..............................
Ila naona kabisa huko mbeleni kuna uwezekano tukasajili kipa. Nadhani wameshindwa sasa hivi kufanya sajili kwa hiyo wanajaribu kumpa nafasi nyingine Kepa ili Marina afanye undava wa kimya kimya kama aliofanya kwa Ziyech hasa kwa kipa na beki.

Experience wanayoipata kwa Kai naona ndio imewafanya wafikie maamuzi hayo kuendelea kumpa nafasi Kepa. Marina kichwa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom