Pia kuna RLCSio tu Mount, kuna Odoi, Kuna Ziyech anacheza karibu position zote Havertz angekuja kucheza, Havertz ni mzuri ila optional, tuelekeze nguvu kwa mabeki na kipa
We kiazi hata team ya mtaani hujawahi pewa ukocha unakuja jf unajifanya ww lampard ..chizi mmojaUsajili wowote wa kipa mzuri utafuta deal la harvetz. Hapo nachoona Harvetz atatua na tutasajili LB.
Namuona CHILWELL akitua darajani. Sidhani kama tutamsajili CB jiandae kisaikolojia kuendelea kuwaona RUDGER, CHRISTENSEN & ZOUMA kwenye defensive msimu ujao
PILISIC..........WERNER.............ZIYECH
KOVACIC........KANTE............HARVETZ
CHILWELL...RUDGER....ZOUMA...AZIPU
..........................KEPA..............................



Tulikuja kuprove sisi sio mid table team kwa kunyanyua ndoo ya EPL msimu uliofata....na nyie mtuprove basiArsenal sio mid table team
Tumeshika nafas ya 8 toka miaka ya 1970s
Na nikutokana na hali iliyotokea timu ilifundishwa na makocha karibu watatu msimu mzima
Chelsea aliposhika nafas ya 10 alikuwa mid table team ?
Mkuu kwa haraka haraka unaweza kusema atumihitaji havertz ila kiuhalisia tunamuhitaji havertz mount,RLC hawa wote sio wabunifu,Sio tu Mount, kuna Odoi, Kuna Ziyech anacheza karibu position zote Havertz angekuja kucheza, Havertz ni mzuri ila optional, tuelekeze nguvu kwa mabeki na kipa
Mkuu Huyo pepe aliwika tu msimu mmoja kwa takwimu za kutisha watu wakazama mfukoni na wakala za usoKai harvertz hana alichomzidi Nicolas Pepe![]()
subirini dawa iwaingie
Yeah chilwel kiuhalisia thaman yake haifiki 50 ila tukienda kati ya chilwel na tagliaficoIla katika sajili zote asisajilkiwe Chilwell kwa bei hiyo kama anasajiliwa iwe chini ya 40Mil, hana anachomzidi Alonso
Deal la Kai ndio litaamua target zinazofata ukiangalia upande wa chilwel zipo kabisa alternative tunazohusishwa nazo nitofauti na kwa kaiKwenye swala la kuuzwa kwa Harvetz na Chilwell bei hawatashusha hata sh. 100. Sisi ndio tuna shida lazima tulipe bei wanaotaka wao. Naona tukilipa hizo pesa.
Jamaa hawatakagi kabisa I've kujigharamisha misha, wamechukua Leroy Sane kama wanasajiri LingardinhoBayern walishasema kabisa msimu huu hawana muda na Kai ,ila akibaki tu asipouzwa , msimu ujao atabakiza mwaka mmoja watamchukua kwa bei ndogo kama kawaida yao ,


bei ya kutupaUsipasuke mapafu kwa kubishana na hizi takatakaArsenal sio mid table team
Tumeshika nafas ya 8 toka miaka ya 1970s
Na nikutokana na hali iliyotokea timu ilifundishwa na makocha karibu watatu msimu mzima
Chelsea aliposhika nafas ya 10 alikuwa mid table team ?




Hakuna hata mmoja ambaye anaweza ingia ktk kikosi chetu hapoHao tukiwapeleka arsenal kwa mkopo siyo mbaya. Wakapate uzoefu uko..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Tutapiga in and outUsajili wowote wa kipa mzuri utafuta deal la harvetz. Hapo nachoona Harvetz atatua na tutasajili LB.
Namuona CHILWELL akitua darajani. Sidhani kama tutamsajili CB jiandae kisaikolojia kuendelea kuwaona RUDGER, CHRISTENSEN & ZOUMA kwenye defensive msimu ujao
PILISIC..........WERNER.............ZIYECH
KOVACIC........KANTE............HARVETZ
CHILWELL...RUDGER....ZOUMA...AZIPU
..........................KEPA..............................



Mlitumia 50 yrs kuprove kuwa nyinyi sio mid table teamTulikuja kuprove sisi sio mid table team kwa kunyanyua ndoo ya EPL msimu uliofata....na nyie mtuprove basi




Kepa kawika misimu mingapi mpaka ukala za chembe?Mkuu Huyo pepe aliwika tu msimu mmoja kwa takwimu za kutisha watu wakazama mfukoni na wakala za uso



Huyo karudisha jezi zetu!
Coutinho baada ya kuwafunga Barca 2 na kutoa asists moja hawana mpango wa kumuuza tena, Koeman ana mpango naeKwahuu usajili naamini utajinasua toka mid-table team......VP partey na coutinho wameshatua?
PSG defender Thiago Silva offered to Chelsea on free transfer @mcgrathmike PSG defender Thiago Silva offered to Chelsea on free transferNyie mnyamaze na mkomae na akina Luiz na Willian. Wanaume wanapoenda shopping inabidi nyie mgeuke kuwa watazamaji tu
Hili dirisha mwaka huu ni la Chjelsea tu, Buldoza wa nguvu, wengine wameadhiriwa na Corona, hakuna cha Real Madrid, Barcelona, naona Manure kidogo ndio wanaokohoa ila kwa Jadon Sancho wamekwama







We kiazi hata team ya mtaani hujawahi pewa ukocha unakuja jf unajifanya ww lampard ..chizi mmoja![]()






