Usiumie moyo mkuu, kwa vyovyote vile mlikuwa hamna uwezo wa kushinda hata tungekuwa 9 ndani hamna huo uwezo, Mtoto yake nepi [emoji3][emoji3]Wapumbavu tu ndio watashangalia ushindi wa leo pamoja na kubebwa waziwazi kama vile tuko bongo
Ni mjinga tu atakaye dhihaki ushindi wa Arsensl leoWapumbavu tu ndio watashangalia ushindi wa leo pamoja na kubebwa waziwazi kama vile tuko bongo
Wale panya ni wetu hapana pa kutokea..
Ina maana hakuna wa Chelsea walioenda Emirate kubeba makombe, Labda Luiz atakuwa wa kwanza
Come On Bluees [emoji838][emoji838][emoji838][emoji471][emoji1548][emoji1548]
We tulia mbona unawashwa washwa muda ni mwalimu mzuri leo lazima mchezee za kutosha kombe la blues
Saa nne kamili lupaso ndanda mtwaraUku kuna msiba, poleni wafiwa
Kwan mazishi ni saa ngapi?
Sasa we unafikiri nilivyosema iletwe video nilimaanisha faulo ipi?VP unahitaji video na hii?View attachment 1524523
We na we una ubishi wa kitoto.Hyo kipa yupo nje ya 18 anajiandaa kudakaView attachment 1524522
Sasa Mzee hyo si faulo dhahiri na akapewa kovacic kadi ....unahitaji video ya nn?Sasa we unafikiri nilivyosema iletwe video nilimaanisha faulo ipi?
Lzm nibishe mkuu from kauli yako kipa yupo nje afu anadaka mpira ndani ya 18We na we una ubishi wa kitoto.
Oneni vituko hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuliwambia mapema humu mkabisha, shida yenu unazi,Arteta level zake Klopp na Pep, lampard ni kocha wa Championship huyo.