Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii ni team au upupu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chelshit mfunge kauzi kenu haka mana msimu wenu ndio umeshakwisha.
Sasa mtajadili nini humu!?
 
Kwa style ya namna hii ni ngumu kuwa mshabiki wa hizi timu, labda uwe unahama hama.
Niko tangu enzi za kina Fransisco Zola lakini si utopolo wa sasa hivi wa Chelsea tofauti na kujikalia home au mtaani na kusikilizia matokeo tu maana bado haijafikia kiwango bora kwa jinsi inavyotakiwa timu ya ushindani.
 
Na mna bahati mmesajili kabla ya final.. La sivyo, yule Werner na Ziyech wangegoma wale
 
Taylor is man of the match.
IMG_15963108004190555.jpeg
 
Niko tangu enzi za kina Fransisco Zola lakini si utopolo wa sasa hivi wa Chelsea tofauti na kujikalia home au mtaani na kusikilizia matokeo tu maana bado haijafikia kiwango bora kwa jinsi inavyotakiwa timu ya ushindani.
Hakuna mchezaji anayeitwa Fransisco Zola, nyie mnasikiliza sana stori za vijiweni na haka katimu kenu.

GIANFRANCO ZOLA.
eboh
 
Sijawahi kuona wachezaji vilaza kama wachezaji wa chelshit. Mpira walioupiga mwingi nusu fainali na sisi Man Utd, na ukiangalia leo walivyolambishwa mchanga, mpaka wanaishia kucheza rafu za kijinga. Halafu wakiguswa hao chelshit wenyewe wanajiangusha kama wapiga nyeto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna siku game huwa inakataa ndio leo ilivyotutokea + injury tulizopata huwa zinachange game plan ya team
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom