Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

kaa utulie ulieeeeeeeeeee kwanza upunguze machungu kisha pata maji safi unawe uso uondoe hilo tongotongo la wenge kisha kesho kutwa uanze kuingia humu maana unajiaibisha tu,yule Ollachuga Oc munamdharau lakini ana hekima sana maana yeye anaenda kunywa mipombe huko stress zikiisha siku ya 3 utamuona hapa kwani anaogopa aibu kama hizi....
CHELMATAKO wote kwa pamoja semeni LONDON IS RED
London always blue
 
Narudia kusema uwe mshabiki wa Ars8 au wa timu nyingine na unashabikia ushindi wa jana wa Arse8 huo ni upumbavu kwa sababu uchavu alioufanya jana Antony Taylor ni uhalifu wa kimataifa kwenye mpira au kwa jina lingine ni Ugaidi kwenye mpira
katika faulu kama 10 Chelsea alizofanya kama nusu hivi ni uonevu mtupu. Katika yellow card 6 Chelsea alizopewa kama 2 tu zilikuwa fair zingine uonevu ikiwemo yellow ya pili ya Kovacic, Mount na Azpilicueta including uamuzi wa penalti ni wa kupewa sadaka ya Iddi. Foolish refering in EPL



Peleka malalamiko yako FA harafu watunyan'ganye kombe Kama unaona hiyo ndio suluhisho [emoji3][emoji3]
 
Nimejaribu kuweka mpaka slow motion hiyo rafu aliyomfanyia Kovacic Taylor
Antony Taylor vs Chelsea FA Cup Final 1 August 2020.gif
 
Hebu elewa nilichoandika. Mpira ndiyo hautakiwi kua nje siyo mwili au mikono. Ndiyo maana hata kipa anaweza kuudaka mpira huku mwili ukiwa nje ya uwanja.

Kwa unavyojua wewe hichi unacholalamikia kingekua kweli refa angeweka nini?
Pia mpira unatakiwa uwe nje wote kisibaki hata kipande.
 
Hebu elewa nilichoandika. Mpira ndiyo hautakiwi kua nje siyo mwili au mikono. Ndiyo maana hata kipa anaweza kuudaka mpira huku mwili ukiwa nje ya uwanja.

Kwa unavyojua wewe hichi unacholalamikia kingekua kweli refa angeweka nini?
Kwahyo hapo mpira upo ndani
IMG-20200802-WA0006.jpg
 
Kwa maoni yangu Refa kawabeba Arsenal sana
Kovacic alifanyiwa rafu halafu yeye ndio anaadhibiwa
Pedro kafanyiwa rafu eneo la penalti refa akapeta
Martinez kadakia nje ya eneo lake refa kapeta

Upande wa pili Chelsea na Arsenal wamecheza hovyo
Chelsea walicheza kama dakiak 20 za mwanzo ile kandanda yao waliofunzwa na kocha baada ya hapo wakaanza uchovu mwingi japo waliendelea kumiliki mpira zaidi ya Arsenal

Hata hivyo hayo yamepita tugange yajayo ambayo yanapendeza zaidi

Azpi alipoumia na Pulisic na Kovacic kutolewa nilitegemea Arsenal wangetumia hiyo fursa kuongeza mabao lakini na wao wamechoka kama Chelsea
Naona hii msongamano wa mechi imewaadhjiri sana wachezaji

Hongera sana Pedro umekufa kiume ukitetea timu kusawazisha japo unaondoka Chelsea. Mungu akuponye haraka

Acheni kulialia jipangeni kwa UCL
 
mechi ya mabingwa wanacheza mabingwa,timu kubwakubwa tu sio huo utopolo wa buluu unaopigwa kiganja,sasa bado unataka ukagongwe kumi...............
 
ukiwa shabiki wa hii timu ni shida tu,sasa kabla ya miaka kumi haka katimu kalikuwa kuzimu?ndio maana tunawaambia nyie bado vitoto
Unaenda unarudi na hautokuja kueleweka. Rudi kasome comment yako iliyofanya mimi noandike ivyo
 
Kipepe alimvagaa Pedro, Mount naye aliparamiwa na zote zikapita
Kipepe kamvagaa Pedro?

Pedro alivyofika pale akawa anangoja kuguswa, yaani alikua katega kabisa aguswe aanguke. Pia mtu akiwa na mpira na yuko mbele yako namna pekee ya kuuchukua mpira ni ama umshike kama Aubameyang alivyofanyiwa na au uuchukue kama alivyofanya Pepe.

Pepe kauchukua mpira kama dunia nzima mpira unavyochukuliwa halafu Pedro akajiangusha baada ya kujitegesha.

Ulitaka iwe faulo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom