Kwa maoni yangu Refa kawabeba Arsenal sana
Kovacic alifanyiwa rafu halafu yeye ndio anaadhibiwa
Pedro kafanyiwa rafu eneo la penalti refa akapeta
Martinez kadakia nje ya eneo lake refa kapeta
Upande wa pili Chelsea na Arsenal wamecheza hovyo
Chelsea walicheza kama dakiak 20 za mwanzo ile kandanda yao waliofunzwa na kocha baada ya hapo wakaanza uchovu mwingi japo waliendelea kumiliki mpira zaidi ya Arsenal
Hata hivyo hayo yamepita tugange yajayo ambayo yanapendeza zaidi
Azpi alipoumia na Pulisic na Kovacic kutolewa nilitegemea Arsenal wangetumia hiyo fursa kuongeza mabao lakini na wao wamechoka kama Chelsea
Naona hii msongamano wa mechi imewaadhjiri sana wachezaji
Hongera sana Pedro umekufa kiume ukitetea timu kusawazisha japo unaondoka Chelsea. Mungu akuponye haraka