Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Shida iko wapi hapo? Kwa hiyo hata Arsenal waliingia wakijua wanaenda kushinda?Hii ndiyo shida ya kuingia uwanjani na matokeo yako mfukoni
Shida iko wapi hapo? Kwa hiyo hata Arsenal waliingia wakijua wanaenda kushinda?Hii ndiyo shida ya kuingia uwanjani na matokeo yako mfukoni
mpira bado upo ndani ya box mkuu,huna macho?Sawa lakini hii ya leo refa amezidiView attachment 1524337
kuwa na adabu na wakubwa zako wewe FRANSISCO ZOLAOneni vituko hivi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku zote nasema hakuna kazi ngumu kama kujitambulisha unashabikia Arse8.
sasa ndio muda wa kwenda kule katika nyuzi zote ulizodanga kutangaza kuwa ngao ya hisani itawakutanisha CHELTAKOs na LIVERPOOL kabla hatujachukua maamuzi magumu kwa kosa lako la kudanganya ummaShida iko wapi hapo? Kwa hiyo hata Arsenal waliingia wakijua wanaenda kushinda?
pale BAKU mlibebwa na CECH na game zote mbili za ligi mlibebwa na refa,mkuki kwa nguruwe hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMkuu ile mechi ya Baku tuliwafunga kihalali sisi hatujawahi kubebwa na ndio maana hamkua na sababu ya kulalamika lakini kilichotokea jana ni utumbo though siwezi kataa mlicheza vizuri lakini yale mahaba ya refa kwenu yalichangia kufifisha juhudi za wachezaji wetu. Mchezaji wenu akiguswa kidogo mpira ushawekwa lakini mchezaji wetu anaparamiwa kabisa mpira unaendelea tu.
Sema safi tu ndio mpira. Hongereni kwa ushindi.
Mnacheza Community Shield kwa Mbeleko tu.sasa ndio muda wa kwenda kule katika nyuzi zote ulizodanga kutangaza kuwa ngao ya hisani itawakutanisha CHELTAKOs na LIVERPOOL kabla hatujachukua maamuzi magumu kwa kosa lako la kudanganya umma
Hebu sema wapi mchezaji wenu aliparamiwa na ikapita kama ilivyo?Mkuu ile mechi ya Baku tuliwafunga kihalali sisi hatujawahi kubebwa na ndio maana hamkua na sababu ya kulalamika lakini kilichotokea jana ni utumbo though siwezi kataa mlicheza vizuri lakini yale mahaba ya refa kwenu yalichangia kufifisha juhudi za wachezaji wetu. Mchezaji wenu akiguswa kidogo mpira ushawekwa lakini mchezaji wetu anaparamiwa kabisa mpira unaendelea tu.
Sema safi tu ndio mpira. Hongereni kwa ushindi.
Hiyo ya Bavarian wala haiko kwenye hesabu zetu, tutaenda kukamilisha ratiba na focus yetu ni kufanya mauaji next season. Kwanza huyo Auba tukitaka tunamchukua kama tulivyomkosakosa Januari,Nawakumbusha tu!
Mjiandae kurudiana na The Bavarians (Bayern Munchen)
Lewando na Müller kwa pamoja wameshatuma condolences zao kwa Chelshit kuelekea kwenye 2nd leg ndani ya ghetto la wahuni wa kijerumani, Allianz Arena.
Wamesema score body wanaifuta, hawaingii na aggregate scores. Wao wanaanza kuhesabu upyaaa!!![emoji28]
ukiwa shabiki wa hii timu ni shida tu,sasa kabla ya miaka kumi haka katimu kalikuwa kuzimu?ndio maana tunawaambia nyie bado vitotoTupige hesabu za miaka 10 au tupotezee?
Hebu elewa nilichoandika. Mpira ndiyo hautakiwi kua nje siyo mwili au mikono. Ndiyo maana hata kipa anaweza kuudaka mpira huku mwili ukiwa nje ya uwanja.Lzm nibishe mkuu from kauli yako kipa yupo nje afu anadaka mpira ndani ya 18
lembu kaka hahahahaha hasira zenu mnataka kumaliza kwa AUBA?kwani yeye kakwambia kuwa anataka kuchezea timu ndogo?Hiyo ya Bavarian wala haiko kwenye hesabu zetu, tutaenda kukamilisha ratiba na focus yetu ni kufanya mauaji next season. Kwanza huyo Auba tukitaka tunamchukua kama tulivyomkosakosa Januari,
Mnamtaka Auba? Hahahah Werner hajacheza na mshajua kua ni kiazi?Hiyo ya Bavarian wala haiko kwenye hesabu zetu, tutaenda kukamilisha ratiba na focus yetu ni kufanya mauaji next season. Kwanza huyo Auba tukitaka tunamchukua kama tulivyomkosakosa Januari,
We umeangalia mechi?Sasa Mzee hyo si faulo dhahiri na akapewa kovacic kadi ....unahitaji video ya nn?
alisikika chizi mmoja akibwabwaja baada ya hasira ya kugongewa nyagiWapumbavu tu ndio watashangalia ushindi wa leo pamoja na kubebwa waziwazi kama vile tuko bongo
Kwa mtazamo wako mpira upo ndani ya boxmpira upo ndani i
mpira bado upo ndani ya box mkuu,huna macho?
Narudia kusema uwe mshabiki wa Ars8 au wa timu nyingine na unashabikia ushindi wa jana wa Arse8 huo ni upumbavu kwa sababu uchavu alioufanya jana Antony Taylor ni uhalifu wa kimataifa kwenye mpira au kwa jina lingine ni Ugaidi kwenye mpira
katika faulu kama 10 Chelsea alizofanya kama nusu hivi ni uonevu mtupu. Katika yellow card 6 Chelsea alizopewa kama 2 tu zilikuwa fair zingine uonevu ikiwemo yellow ya pili ya Kovacic, Mount na Azpilicueta including uamuzi wa penalti ni wa kupewa sadaka ya Iddi. Foolish refering in EPL
Narudia kusema uwe mshabiki wa Ars8 au wa timu nyingine na unashabikia ushindi wa jana wa Arse8 huo ni upumbavu kwa sababu uchavu alioufanya jana Antony Taylor ni uhalifu wa kimataifa kwenye mpira au kwa jina lingine ni Ugaidi kwenye mpira
katika faulu kama 10 Chelsea alizofanya kama nusu hivi ni uonevu mtupu. Katika yellow card 6 Chelsea alizopewa kama 2 tu zilikuwa fair zingine uonevu ikiwemo yellow ya pili ya Kovacic, Mount na Azpilicueta including uamuzi wa penalti ni wa kupewa sadaka ya Iddi. Foolish refering in EPL