Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu Arsenal haniwazishi kabisa hata awe kwenye ubora gani. Lazima tulipe kisasi cha fainal ya FA mwaka 2017 walitupiga 2-1.

Arsenal ya kipindi kile ilikua moto na walifanya ili kuweka heshima kwa Wenger ndio alikua nakaribia kuachana na maswala ya mpira. Hii Arsenal ya sasa hata kesho anakufa mapema sana.
Huna mpira huo hayo ni maneno ya kinazi tu, unatunguliwa mchana kweupeeeeeh
 
Mkuu mimi nina imani kubwa na Lamps, hata kama ni goli najua atajitahidi hata tupate ushindi wowote ule. Hata kama wakitutoa ila shughuli yetu waipate bhana
Ushabiki shida sana, leo anakanwa kesho anakubaliwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dhidi ya Westham ilikuwa[emoji95]
Dhidi ya Sheffield mkataka kumrudisha akafundishe championship,

leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushabiki shida sana, leo anakanwa kesho anakubaliwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dhidi ya Westham ilikuwa[emoji95]
Dhidi ya Sheffield mkataka kumrudisha akafundishe championship,

leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niletee comment yangu niliwahi hata kusema sina imani na Lampard. Sijawahi kuwa kigeugeu hata siku moja. Nikishakua sina imani na mchezaji au kocha huwa nasimama palepale.
 
Wewe ukibisha utakuwa una tatizo la kichwa na kukakamaza fuvu,
Ila...
Screenshot_20200720-202253.jpg
 
Kesho kutwa tutaonana wabaya nyie mandundule goli 4 hamto amini [emoji57]
 
Hii team mashabiki zake kichwani weupe Kama kichwani bure kabisa b[emoji23][emoji23]
 
Fainal FA cup takataka fc vs vilaza fc[emoji23][emoji23]
 
Hata aibu hauna mkuu kwenye ligi upo nafasi ya 10 halafu utaongea Nini na wewe kwangu, arsenal wewe ni kama Norwich tu, we kwangu hauna lolote, eti nilikuotea wewe unaweza pigwa nne halafu unasema nilikuotea kweli!?, hebu kuwa na aibu arsenal ni ile ile tu haijbadilika popote. Ngoja upepo wa kisulisuli uje nikupige nyingi Sana.

LONDON IS BLUE,arsenal ni utopolo tu, nothing more.
katimu kadogo haka, mnachojua kuvimbia wakubwa ili muonekane mpo kwny ramani,Haka katimu bila kuwafunga wakubwa ni Everton iliyochangamka.[emoji3][emoji3]
 
Ukweli ni kwamba Arteta ameibadilisha Arsenal
Arsenal hii sio ile ya kichwa cha mwenda wazimu
Arsenal wameimarika sana kwenye defense na mbele
Arsenal sio timu ya kuwabeza
Chelsea wakiendeleza wembe huu wa jana tutawalazimisha akina Luiz wafanye mistakes nyingi zitakazozaa magoli
Huna uwezo huo mkuu, yaani nyie wepesi km karatasi, mimi siwazi kabisa unabisha tubet hapa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Arsenal Hana ubavu wa kupata matokeo dhidi ya Chelsea kutokana na aina ya uchezaji wa Chelsea,sisi tukicheza mpira wa kigumu tuna kuwa untouchable game ya Jana Giroud aliwafanya mabeki wa man u wafanye makosa so man City hawana Aina ya striker mwenye nguvu ndio maana mabeki wa arsenal walienjoy game.
Unaleta unazi, subiri moto ukuwakie,cha kufanya kusanya wachezaji wazuri wote duniani wakusaidie ndio labda utapata draw [emoji3][emoji3][emoji3]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom