Watu wenye matusi naishiaga kuongeza tu kwenye ignore list


pole mkuuKumbe Arsenane nilifikiri Arsenal.Bahati yako maana kuna jamaa hapa siku nyingi hajapata msisimkoLampard ni Mwanasiasa, wanaokubali kauli yangu wanyoshe mikono juu!
Kwa taarifa za nyuma ya kapeti ni kuwa lazima mechi ijayo Chelsea ishinde 3-1 au 2-0 ili ajifiche kwenye kichapo cha leo, daaah..! Haya ni mambo ya Arsenane kabisa jamani duuuh!
Nakukumbusha ru mkuu, mipango sio matumizi.
Mkuu mi kuna njemba moja la humu nishali ignore kitambo akili fupi.Watu wenye matusi naishiaga kuongeza tu kwenye ignore list
Nafasi ipi?Sisi mashetani wekundu tunasema mtuachie na mtupishe nafasi yetu..
imelala doro hio
3-0
Lakini kapigwa 3 na Man uSheffield ni moja kati ya timu zenye ukuta mgumu Uingereza.
Henderson leo anapigana juu chini aongeze idadi ya Clean Sheet
Kuna kabati mkuu.hii game naona kuna draw
Mwantesa United 8 - 0 Arsenal, ndiyo jina rasmi la Arsenane lilibatizwa hapo hadi siku akiifunga timu nyingine goli 8 ndipo itaachwa kuitwa ArsenaneKumbe Arsenane nilifikiri Arsenal.Bahati yako maana kuna jamaa hapa siku nyingi hajapata msisimko