Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lampard ni Mwanasiasa, wanaokubali kauli yangu wanyoshe mikono juu!

Kwa taarifa za nyuma ya kapeti ni kuwa lazima mechi ijayo Chelsea ishinde 3-1 au 2-0 ili ajifiche kwenye kichapo cha leo, daaah..! Haya ni mambo ya Arsenane kabisa jamani duuuh!
 
Sisi mashetani wekundu tunasema mtuachie na mtupishe nafasi yetu..

imelala doro hio

3-0
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom