Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lampard ni Mwanasiasa, wanaokubali kauli yangu wanyoshe mikono juu!

Kwa taarifa za nyuma ya kapeti ni kuwa lazima mechi ijayo Chelsea ishinde 3-1 au 2-0 ili ajifiche kwenye kichapo cha leo, daaah..! Haya ni mambo ya Arsenane kabisa jamani duuuh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom