Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mategemeo pekee ya comeback ni kipindi cha pili kocha ajisahihishe
 
Defensive ya chelsea ni mbovu sana lakin hata leo naona vile viungo vya kati joginho haji kuomba mipira kati... Mipira mingi inachezeka nyuma

Kuwepo kwa barkley ndani ni mzigo mkubwa.. Na jogihno kazi yake ni back pass...
 
Defensive ya chelsea ni mbovu sana lakin hata leo naona vile viungo vya kati joginho haji kuomba mipira kati... Mipira mingi inachezeka nyuma

Kuwepo kwa barkley ndani ni mzigo mkubwa.. Na jogihno kazi yake ni back pass...
Defense sijaona kama kuna shida. Tatizo kati hawapandishi mipira na mbele wanacheza nalenale sana. Dk kama 5 za mwisho ndio nimeona angalau kuwa watu mbele.

Ross anatakiwa apumzishwe aingie RLC, na finishing amalize Giroud badala ya Tammy. Hudson Odoi kama yuko fit ampige sub Pulisic. Ila Pedro angekuwa sub hizi ndio mechi zake hizi.

Bado kuna nafasi kocha akifanya marekebisho. Ila gap la Kante liko linaonekana sana!
 
Kwi kwi kwi kwi kwi, nitarudi mechi ikiisha maana hawa watoto sio wa kuwategemea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom