Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1594470392110.png
 
Kuna taarifa kuwa dogo Lewis Bate kutoka Chelsea U23 amejumuishwa kwenye kikosi cha leo dhidi ya Sheffield United. Anacheza katika nafasi ya MC ama LB nadhani amechukua nafasi ya Gilmour. Dogo yuko vizuri sana hasa kwenye pasi zile ndefu, kipaji kizur sana hiki. Natumai atapewa nafasi hii leo.

Hawa madogo walio katika academy zetu muwe mnawafatilia na wao. Sio mnakaa mnawafatilia kina Abraham aka takataka ama lile lioka mikake
Hii team kweli haina wachezaji kila siku first Eleven yabadilika hi team au wafanyakazi wa kiwandan wanaoenda kwa shift
 
Michael Antonio wa Westham kabeti na mabeki wa Norwich
Norwich hiyo imeshashuka daraja
 
Lazima Baadae mtaanza kuongea lugha tofauti tu sababu kipigo kipo pale pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom