John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Inasikitisha kwa kweli....nafikiri hii ndo mechi yangu ya mwisho kuangalia nasubiri huo mwezi Wa Tisa msimu mwingineInaumiza kwakweli. Nashindwa hata kuandik ni maumivu gani niliyonayo.
Ila tuzidi kuwa na Imani na Timu yetu nina imani tutamaliza ligi tukiwa nafasi nzuri
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app

