Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi nipo na wewe... tammy ni mzuri, ukizingatia ndio mara yake ya 1 kucheza premier na umri wake ...

Kwa maana mpka sasa kaonyesha uwezo mzuri, tukiachana na drogba, yeye ndio ana wastani mzuri wa kushinda toka karne hii kuanza....

Wanaotaka foward mwingine, yupi kwao ni bora na atakuwa mzuri wa kushinda zaidi yake kwenye ligi ngumu kama epl..????
Atakuwa mzuri
Tatizo la Abraham limesababishwa na kukosekana mtoa huduma mzuri, Hao mnaowasikia wakifunga kila mara wanahudumiwa vizuri. Na ndio maana kocha analalamikia kukosekana kwa kiungo mbunifu. Ujio wa Hakim na probably Sancho utabadilisha ufungaji wa Abrahama kwa sababu wanaokuja ni mafundi wa kuassist

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea kisahihi. Kati ya vijana wadogo tulio nao, Reece na Tammy are very much talented. Hakuna timu yenye akili inaweza kumwacha Tammy. Strikers wangapi wana magoli kumzidi pale Ulaya?
Atakuwa mzuri
Tatizo la Abraham limesababishwa na kukosekana mtoa huduma mzuri, Hao mnaowasikia wakifunga kila mara wanahudumiwa vizuri. Na ndio maana kocha analalamikia kukosekana kwa kiungo mbunifu. Ujio wa Hakim na probably Sancho utabadilisha ufungaji wa Abrahama kwa sababu wanaokuja ni mafundi wa kuassist

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafasi ngapi Abraham anakosaga? Au uangalii mwangalie game dhidi ya man city alipata nafasi mbili za wazi kakosa, Kuna game pia tulicheza na Liverpool Stamford bridge kakosa chance za wazi.Team kubwa Kama Chelsea haiwezi kumtegemea Abraham kuwa striker wao tegemezi
Strikers kupoteza nafasi ni kawaida. Cha muhimu atengenezewe nafasi nyingi. Firminho anakosa ngapi? Aguero anakosa ngapi?
Kila mara nasema tutumie kichwa kufanya judgement na siyo mioyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anahitaji mtu wa kuleta changamoto kwenye hiyo nafasi. Pia kumbuka Tammy akiumia hakuna wa kuvaa viatu vyake pale mbele. Tangu enzi za Sari Hazard alicheza false 9 kwa sababu hiyo. So ujio wa striker mpya ni kwa ajili ya kuimarisha nafasi hiyo ila haimaanishi Tammy ni mbaya.

With modern football lazima timu iwe na options nyingi za kupata magoli. Mfano pale Liverpool; Firminho asipofunga basi Mane, au Salah, au Anord au Robertson watafunga.

Unatetea ujinga kaka? Lampard mwenyewe alishasema anataka striker mpya. Tammy level yake ni championship.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huwa naona Aibu sana naposoma msg ya mdau anayemtetea Tammy. Lampard asimamie msimamo wake wa kusajili striker.

Tupo nyuma ya Lampard, january Marina hakumletea striker ila tunaimani atakuja bonge la striker

Kubeba kombe epl tunatakiwa tuwe na striker caliber ya Aguero na Firmino na sio kindergarten striker
Na akiendelea kumchezesha msimu ujao muwe nyuma yake hivyo hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huwa naona Aibu sana naposoma msg ya mdau anayemtetea Tammy. Lampard asimamie msimamo wake wa kusajili striker.

Tupo nyuma ya Lampard, january Marina hakumletea striker ila tunaimani atakuja bonge la striker

Kubeba kombe epl tunatakiwa tuwe na striker caliber ya Aguero na Firmino na sio kindergarten striker
Hivi mkuu uko serious kweli, Tammy ana magoli mangapi? Na huyo Firminho ana magoli mangapi? Tammy akiondoka kila mtu atamlilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taja strikers kwa sasa duniani ambao wanaweza kuja Chelsea na kufanya vzuri kuliko Tammy na tuone uwezekano wa kuja Chelsea kama upo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mastriker wote ambao wako vizur utaangalia tim kubwa zote zinawataka kuanzia kwa lautaro martinez mpka kwa dembele

Me naona turudi kama zaman tulikuwa na sheva na drogba then tukawa na drogba na anelka na wote walikuwa wanatupa matokeo katika mechi tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu. Mawazo yote ni mema kwa mafanikio ya chama letu. Ngoja tuone usajili wa huyo anayekuja kumchallenge Tammy.

Ila chance za kufunga anazopoteza Tammy ni nyingi jamani kama una hasira unaweza pasua tv yako.
Salah, Firminho wanapoteza ngapi jamani? Hiyo kwa striker yeyote ni jambo la kawaida. Diego costa alikuwa anamaliza msimu na magoli 20's unataka kusema timu nzima alikuwa inamtengenezea nafasi za wazi 30 tu kwa msimu mzima?
Let's be fair

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nipo na wewe... tammy ni mzuri, ukizingatia ndio mara yake ya 1 kucheza premier na umri wake ...

Kwa maana mpka sasa kaonyesha uwezo mzuri, tukiachana na drogba, yeye ndio ana wastani mzuri wa kushinda toka karne hii kuanza....

Wanaotaka foward mwingine, yupi kwao ni bora na atakuwa mzuri wa kushinda zaidi yake kwenye ligi ngumu kama epl..????

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kitaalamu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nipo na wewe... tammy ni mzuri, ukizingatia ndio mara yake ya 1 kucheza premier na umri wake ...

Kwa maana mpka sasa kaonyesha uwezo mzuri, tukiachana na drogba, yeye ndio ana wastani mzuri wa kushinda toka karne hii kuanza....

Wanaotaka foward mwingine, yupi kwao ni bora na atakuwa mzuri wa kushinda zaidi yake kwenye ligi ngumu kama epl..????

Sent using Jamii Forums mobile app
HAAA unataka tuwataje na majina? Kuna Timo Werner. Halaand ndio yule tumemuacha kaenda dortmund. Hata dembele mwenyewe yupo tough kuliko huyo Tammy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom