Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pulisic/Odoi - New Striker - sancho

Kovacic - Kante - Ziyech

New LB - Rudger - New CB - James

Sent using Cash Money Wings

Sent using Cash Money Wings
Ziyech ni winga kwenye 4-3-3 no way inayomfaa ni winger tu. Kwenye 3-4-3 ni winger
Kwenye 4-2-3-1 ni CAM
Ziyech ni kushoto zaidi
Sancho anacheza pande zote mbili, nimefuatilia kule Dotmund, 50%/50% anacheza kulia na kushoto
 
Chelsea chief Marina Granovskaia began Jadon Sancho transfer talks after Hakim Ziyech deal
 
Imagine Reece anapandisha timu anampokea Ziyech kummiminia Tammy.
Screenshot_20200216-080647~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Abraham sio striker mzuri Chelsea needs new striker mzuri zaidi
Atakuwa mzuri
Tatizo la Abraham limesababishwa na kukosekana mtoa huduma mzuri, Hao mnaowasikia wakifunga kila mara wanahudumiwa vizuri. Na ndio maana kocha analalamikia kukosekana kwa kiungo mbunifu. Ujio wa Hakim na probably Sancho utabadilisha ufungaji wa Abrahama kwa sababu wanaokuja ni mafundi wa kuassist
 
Atakuwa mzuri
Tatizo la Abraham limesababishwa na kukosekana mtoa huduma mzuri, Hao mnaowasikia wakifunga kila mara wanahudumiwa vizuri. Na ndio maana kocha analalamikia kukosekana kwa kiungo mbunifu. Ujio wa Hakim na probably Sancho utabadilisha ufungaji wa Abrahama kwa sababu wanaokuja ni mafundi wa kuassist
Nafasi ngapi Abraham anakosaga? Au uangalii mwangalie game dhidi ya man city alipata nafasi mbili za wazi kakosa, Kuna game pia tulicheza na Liverpool Stamford bridge kakosa chance za wazi.Team kubwa Kama Chelsea haiwezi kumtegemea Abraham kuwa striker wao tegemezi
 
Abraham sio striker mzuri Chelsea needs new striker mzuri zaidi
Aminini nawaambia Tammy ni mchezaji mzuri sema kinachomsumbua Tammy amekosa watu wa kumchezesha. Nikisema ivyo simaanishi kina Pulisic au Mount ni wabaya ila ninachomaanisha bado hawajaelewana vizuri kiuchezaji ukizingatia wote ni wageni wa EPL hakuna mwenye experience sana na ligi. Hawa jamaa wanahitaji muda combination yao iweze ku tick. Tammy apate mtu mzuri wa kumpa mapande ya kutosha anamaliza ligi na si chini ya magoli 20.
Tammy tena? Tunataka makombe mzee, Tammy hawezi kutepeleka kwenye ndoto zetu. Tammy Kuwa sub itapendeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lampard alisema striker mpya kwa ajili ya kuongezea nguvu kikosi sio kwamba Tammy ni level ya championship,, kila mtu Ana mapungufu yake currently huwez pata striker aliekamilika kiurahisi,,in short pamoja na mpungufu yake Tammy bado anajitahid
Unatetea ujinga kaka? Lampard mwenyewe alishasema anataka striker mpya. Tammy level yake ni championship.
 
Baada ya kuondoka diego costa striker gan alieperform Chelsea,,, morata alishindwa kabisaa , Batman ndo huyo nae hajiwezi
 
Aminini nawaambia Tammy ni mchezaji mzuri sema kinachomsumbua Tammy amekosa watu wa kumchezesha. Nikisema ivyo simaanishi kina Pulisic au Mount ni wabaya ila ninachomaanisha bado hawajaelewana vizuri kiuchezaji ukizingatia wote ni wageni wa EPL hakuna mwenye experience sana na ligi. Hawa jamaa wanahitaji muda combination yao iweze ku tick. Tammy apate mtu mzuri wa kumpa mapande ya kutosha anamaliza ligi na si chini ya magoli 20.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe inabidi uwe mshabiki wa Arsenal hata mentality yako imekaa kiarsenal arsenal Abraham Hana quality ya kuwa main striker wetu.
 
Mkuu huwa naona Aibu sana naposoma msg ya mdau anayemtetea Tammy. Lampard asimamie msimamo wake wa kusajili striker.

Tupo nyuma ya Lampard, january Marina hakumletea striker ila tunaimani atakuja bonge la striker

Kubeba kombe epl tunatakiwa tuwe na striker caliber ya Aguero na Firmino na sio kindergarten striker
Mkuu ni kweli tunahitaji striker wa kumchallenge Tammy. Lakini hata huyu tulionaye si mbaya kama mnasema. Ni kama ilivyo kwa nafasi ya golikipa, Kepa siyo mbaya ila tunahitaji mtu mwingine bora zaidi kumpa changamoto Kepa.

Amini nikwambiavyo Tammy ampate namba 10 kama RLC utakuja kuniambia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nakupinga. Je hapati chances? Anapata lkn conversion rate yake siyo kubwa. Pia anadondoka sana.
Atakuwa mzuri
Tatizo la Abraham limesababishwa na kukosekana mtoa huduma mzuri, Hao mnaowasikia wakifunga kila mara wanahudumiwa vizuri. Na ndio maana kocha analalamikia kukosekana kwa kiungo mbunifu. Ujio wa Hakim na probably Sancho utabadilisha ufungaji wa Abrahama kwa sababu wanaokuja ni mafundi wa kuassist

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu. Mawazo yote ni mema kwa mafanikio ya chama letu. Ngoja tuone usajili wa huyo anayekuja kumchallenge Tammy.

Ila chance za kufunga anazopoteza Tammy ni nyingi jamani kama una hasira unaweza pasua tv yako.
Msimu ujao utanambia mwenyewe. Tutambue there is first time for everything. Hawa madogo tuwape muda labda kuanzia msimu ujao wanaweza kuwa sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom