Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ni kweli mkuu na hata hao strikers wanaosemwa hatuna uhakika kama wataiweza mikiki ya EPL na kama watamudu mazingira ya pale Uingereza kisoka.
Kulikuwa na mtu anaitwa Luca Jovic pale Ujerumani timu ya Frankfurt. Ila tangu aende Madrid msimu uliopita mpaka leo kafunga goli mbili tu!
Mastriker wote ambao wako vizur utaangalia tim kubwa zote zinawataka kuanzia kwa lautaro martinez mpka kwa dembele

Me naona turudi kama zaman tulikuwa na sheva na drogba then tukawa na drogba na anelka na wote walikuwa wanatupa matokeo katika mechi tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunachosema hapa ni mtu kuwa clinical. Ni kweli ana magoal mengi lakini je amemiss chances ngapi pia?
Umeongea kisahihi. Kati ya vijana wadogo tulio nao, Reece na Tammy are very much talented. Hakuna timu yenye akili inaweza kumwacha Tammy. Strikers wangapi wana magoli kumzidi pale Ulaya?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Strikers kupoteza nafasi ni kawaida. Cha muhimu atengenezewe nafasi nyingi. Firminho anakosa ngapi? Aguero anakosa ngapi?
Kila mara nasema tutumie kichwa kufanya judgement na siyo mioyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiseme ni kawaida. Hivi humu ndani kuna mtu alikuwa anamlaumu diego costa kwamba ana kosakosa magoal?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAAA unataka tuwataje na majina? Kuna Timo Werner. Halaand ndio yule tumemuacha kaenda dortmund. Hata dembele mwenyewe yupo tough kuliko huyo Tammy.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya hao uliotaja possibly Timo Wener anaweza kureplivate performance yake EPL, ila hao wengine ni kama Luca Jovic tu. Alafu unachopaswa kufahamu wachezaji wengi wenye uraia wa Ujerumani na hata makocha ndoto zao za maisha ni kuitumikia Bayern Munich.
Ila huyo Haaland na Dembele siwezi kuwapa nafasi over kijana wa miaka 23 ambaye ananipa magoli 12 nusu msimu ndani ya EPL.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mkuu uko serious kweli, Tammy ana magoli mangapi? Na huyo Firminho ana magoli mangapi? Tammy akiondoka kila mtu atamlilia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumfananisha Tammy na firmino unakosea sana. Kule Liverpool wachezaji wamegawana magoal. Ndio maana inakuwa ni ngumu kumuona firmino ana goal nyingi.

Huyo Firmino ana goal 8 na assist 7, Salah ana goal 14 na assit 6 Pia Mane ana goal 12 na assist 6.

Sisi chelsea Baada ya Abraham goal 13 na assist 3 tu na anayefuata ni Pulisic ambaye ana goal 5 tu.

Hivi huoni tofauti hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salah, Firminho wanapoteza ngapi jamani? Hiyo kwa striker yeyote ni jambo la kawaida. Diego costa alikuwa anamaliza msimu na magoli 20's unataka kusema timu nzima alikuwa inamtengenezea nafasi za wazi 30 tu kwa msimu mzima?
Let's be fair

Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi za diego costa hata hazard anafunga... na wengine wanafunga hivo kulikuwa na mgawanyo wa magoal....

Kwa Taarifa yako huyo Tammy Abraham ndo anaongoza kumiss chances epl nzima
Screenshot_20200216-212600.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dembele ana miaka 23 kama Tammy. Haland ana miaka 19 tu. Au umedhanj wote ni wazee?
Kati ya hao uliotaja possibly Timo Wener anaweza kureplivate performance yake EPL, ila hao wengine ni kama Luca Jovic tu. Alafu unachopaswa kufahamu wachezaji wengi wenye uraia wa Ujerumani na hata makocha ndoto zao za maisha ni kuitumikia Bayern Munich.
Ila huyo Haaland na Dembele siwezi kuwapa nafasi over kijana wa miaka 23 ambaye ananipa magoli 12 nusu msimu ndani ya EPL.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijawalinganisha ila nataka kukuonesha kazi ya magoli aliyo nayo Tammy ni mengi. Sasa kama swala ni kugawana magoli, Chelsea ni Tammy anawakwamisha wengine kufunga? Mbona Firminho bado sote tuna mkubali na mimi nikiwepo na wakati magoli yake ni pungufu ya aliyo nayo Tammy? Hivi Willian kutofunga magoli mengi ni kosa la Tammy, Mount kutofikisha magoli 8 nusu msimu ni kosa la Tammy?, Kovacic kuwa na goli moja ni kosa la Tammy?

Tuwe fair kwa Tammy ndugu zangu. Kama tungekuwa na mawinga wenye assist nyingi na magoli mengi haya yasingesemwa
Kumfananisha Tammy na firmino unakosea sana. Kule Liverpool wachezaji wamegawana magoal. Ndio maana inakuwa ni ngumu kumuona firmino ana goal nyingi.

Huyo Firmino ana goal 8 na assist 7, Salah ana goal 14 na assit 6 Pia Mane ana goal 12 na assist 6.

Sisi chelsea Baada ya Abraham goal 13 na assist 3 tu na anayefuata ni Pulisic ambaye ana goal 5 tu.

Hivi huoni tofauti hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfumo tunaocheza sisi na Liver ni tofauti. Liver anacheza 4-3-3 wakati sisi tunacheza 4-3-2-1.

Na ndio maana Firmino 16 na mane 15 na salah 9 wote wamemiss chances nyingi sana. Kwa haraka haraka maana yake hao wenzetu ni kama wanapata chances almost equally hasa Firmino na Mane. Salah anaonekana kuwa na misses chance sababu yupo more clinical na ndio maana ana goal nyingi kuliko wote.

Ila ukija kwetu Tammy kamiss big chances 16 anayefuata kumiss chance nyingi ni Pulicic ambaye kamiss chance 6 tu. Sasa ukiangalia hapo it means chances chances nyingi zinazotengenezwa chelsea zinaenda kwa Tammy na ndo anazipoteza.
Mimi sijawalinganisha ila nataka kukuonesha kazi ya magoli aliyo nayo Tammy ni mengi. Sasa kama swala ni kugawana magoli, Chelsea ni Tammy anawakwamisha wengine kufunga? Mbona Firminho bado sote tuna mkubali na mimi nikiwepo na wakati magoli yake ni pungufu ya aliyo nayo Tammy? Hivi Willian kutofunga magoli mengi ni kosa la Tammy, Mount kutofikisha magoli 8 nusu msimu ni kosa la Tammy?, Kovacic kuwa na goli moja ni kosa la Tammy?

Tuwe fair kwa Tammy ndugu zangu. Kama tungekuwa na mawinga wenye assist nyingi na magoli mengi haya yasingesemwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo anaongoza sawa humuoni Firminho na Mane hapo? humuoni Gabriel Jesus hapo juu? Hapo tunazungumzia washambuliaji bora kabisa duniani.

Kwa hiyo hilo likuoneshe kwamba hata washambuliaji wakubwa wanamisi chance kama ilivyo kwa Tammy.
Ndiyo maana nikasema striker kukosa nafasi ni jambo la kawaida kwenye mpira.

Kama kuna tatizo la kuadress Chelsea ni lack of creativity siyo Tammy. Wewe angalia Tammy kamiss clear chances 16. Ila Liverpool sasa jumlisha big chances missed by Firminho 16, Mane 15, Salah alafu sasa angalia idadi ya magoli ya kila mmoja. Hilo linakwambia timu inatengeneza chances nyingi kitu ambacho hakipo Chelsea
Enzi za diego costa hata hazard anafunga... na wengine wanafunga hivo kulikuwa na mgawanyo wa magoal....

Kwa Taarifa yako huyo Tammy Abraham ndo anaongoza kumiss chances epl nzimaView attachment 1359966

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaweza kuja EPL kufanya alichofanya Tammy? Kati ya hao wote hata goli 13 zinaweza kuwashinda msimu mzima. Maana mifano tunayo mingi sana. Di Maria, Batshuay, Falcao, na wengine wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi na wewe hatujui lakini kusema hawawezi kufanya alichofanya Tammy siyo sawa kabisa.

Halafu sikuwahi kujua kama Di maria alikuwa Sriker

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao kumiss chances nyingi siyo justification ya Tammy kuwa sahihi. Nmetolea mfano wa mohamed Salah ambaye kamuss chances nusu ya hizo za Tammy angalia ana goal ngapi. Muangalie Aguero.
Ndo anaongoza sawa humuoni Firminho na Mane hapo? humuoni Gabriel Jesus hapo juu? Hapo tunazungumzia washambuliaji bora kabisa duniani.

Kwa hiyo hilo likuoneshe kwamba hata washambuliaji wakubwa wanamisi chance kama ilivyo kwa Tammy.
Ndiyo maana nikasema striker kukosa nafasi ni jambo la kawaida kwenye mpira.

Kama kuna tatizo la kuadress Chelsea ni lack of creativity siyo Tammy. Wewe angalia Tammy kamiss clear chances 16. Ila Liverpool sasa jumlisha big chances missed by Firminho 16, Mane 15, Salah alafu sasa angalia idadi ya magoli ya kila mmoja. Hilo linakwambia timu inatengeneza chances nyingi kitu ambacho hakipo Chelsea

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enzi za diego costa hata hazard anafunga... na wengine wanafunga hivo kulikuwa na mgawanyo wa magoal....

Kwa Taarifa yako huyo Tammy Abraham ndo anaongoza kumiss chances epl nzimaView attachment 1359966

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Tammy anaonekana hivyo kwa sababu wachezaji wengine hawafumgi pia. Kumbuka hata Tammy anatoa pass kwa wengine wanashindwa kufunga. So cha msingi ni kuelewa ni swala la muda Tammy atakua vile mnataka awe. Subirini msimu ujao akipata mawing wa pembeni waliochangamka zaidi mtamshangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi na wewe hatujui lakini kusema hawawezi kufanya alichofanya Tammy siyo sawa kabisa.

Halafu sikuwahi kujua kama Di maria alikuwa Sriker

Sent using Jamii Forums mobile app
With modern football kufunga si kazi ya striker pekee. My argument was based on that essence. Hivi kwa nini igamble na mtu ambaye haijui akija atafanya nn while tayr tuna our own man?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao kumiss chances nyingi siyo justification ya Tammy kuwa sahihi. Nmetolea mfano wa mohamed Salah ambaye kamuss chances nusu ya hizo za Tammy angalia ana goal ngapi. Muangalie Aguero.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mane je? I think it's wise to be logical. Wasting of chances can happen to anyone. Hivi msimu ulipita kuna mtu pale Liverpool kawaste chances kama Salah?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom