Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,937
- 27,199
Diego siemioni akija Stamford bridge kwa mfumo wake wa mpila wachezaji watakao baki ni ma defender kama zouma Reddiger Emerson kante na joginiho ndo angalau wanaweza mfumo wake,wa mchezaji kumiliki mpila kwa kudribble control na passa ndefu, wakina odoi prisic huyu Abraham hata kwenye sub anaondolewa kabisa......Media bana
The Blues are monitoring Diego Simeone's situation at Atletico Madrid and would consider replacing Frank Lampard, according to the Daily Express.
Hii habari niliikuta katika moja ya page ya Chelsea fans nikaiipuuzia sasa nimeikuta katika page ya Transfers, moja kati ya page ninayoiamini kuhusu habari za michezo.
Huyu dogo akubali tu kujaView attachment 1358859
Sent using Jamii Forums mobile app
Mario Pasalic aipatia Antalanta goli la pili dakika ya 59 na la ushindi dhidi ya AS Roma katika mechi ya kuwania top 4 ya Serie A. Antalanta imeshinda 2-1 wakitokea nyuma ya goli 1-0 dk ya 50
Sancho akija sioni kma willian atabaki ukiangalia odoi na pullisic nao watahitaji nafasi,kwa haraka haraka huenda huu ndio ukawa msim wa mwisho wa willianAkija Sancho na RLC
Timu itakuwa hivi kwenye 4-2-3-1
Tammy AbrahamHawa watakuwa backup au SUB
Jadon Sancho - RLC - Hakim Ziyech
Kovacic - Kante
Ben Chilwell - Rudiger - Christansen - James
Andre Onana
Hawa wataondoka bure
- New striker
- Jammie Cumming GK
- Willian - atakubali mkataba wa miaka miwili
- Barkley
- Mount
- Pulisic
- Billy Gilmour
- Odoi
- Azpilicueta
- Tomori
- Zouma
- Jeremie Boga atarudishwa kutoka Sassuolo
- Pedro
- Giroud
- Willy Caballero
Hawa watauzwa au kutolewa mkopo
- Kepa
- Alonso
- Emerson
- Jorginho
- Batshuayi
Pulisic/Odoi - New Striker - sancho
Kovacic - Kante - Ziyech
New LB - Rudger - New CB - James
Umesahau kuwa Wilian anacheza winga zote na attacking midfield. Anaweza kuwa backup kwenye mojawapo ya hizo nafasi tatuSancho akija sioni kma willian atabaki ukiangalia odoi na pullisic nao watahitaji nafasi,kwa haraka haraka huenda huu ndio ukawa msim wa mwisho wa willian
Sent using Jamii Forums mobile app
Sancho anacheza winga zote mbili, kushoto na kulia na saa nyingine kama atacking Midfield. Tuseme tu mawinga wote wanaweza kucheza kama Atacking midfielder
Willian anataka mktaba wa miaka mitatu, bodi imempa miwili bado hajakubaliSheria ya mikataba ya wachezaji Chelsea, inasema kwamba mchezaji akifikisha miaka 30 kwenda juu aongozewe mkataba wa mwaka mmoja mmoja.
Willan anataka mkataba wa miaka 2 kinyume sheria ya timu. Hivyo mgt itamuacha aondoke bure.
Sent using Cash Money Wings
Ndugu zangu Kama ikitokea Sancho akasajiliwa na Chelsea je Hakim ziyech na Sancho watacheza vipi kwenye team moja?
Pulisic/Odoi - New Striker - sancho
Kovacic - Kante - Ziyech
New LB - Rudger - New CB - James
Sent using Cash Money Wings
Ila sancho mzuri sana winger ya kulia anacheza veri comfortable
Winger kama ipi mkuu?