Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna mashabiki hata uwaambie nini
Hata mchezaji wa Uingereza acheze vizuri namna gani, wao wana chuki na wachezaji wa Uingereza tu
Unamlinganishaje Sancho na Lingard?
Unasemaje Kane, Sancho wako overrated?
Hata hawa walikuwa overrated
John Terry
Frank Lampard
Wyne Rooney
David Beckam
Steven Gerrad
Michael Owen
 
Ziyech: “Which club would you like to go to in the future?”

Kluivert: “Thats a good question, I like English football but my ultimate dream would be barca. And your ultimate dream?”

Ziyech: “Well I have two clubs those are ARSENAL and Barcelona. Those are my ultimate dream.”

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwann chelsea wakinunua mchezaji mzuri Roho inawauma ivi?

Pambaneni mpate Sancho kwa bei 100m


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hahahaha mashabiki wangapi wa Chelsea wanapenda Sancho asajiliwe?

Kwa Sancho mashabiki tumegawanyika. Na sababu zipo:-

1. Bei yake sokoni
2. Ubora wa Kiwango chake akitua EPL (Ugumu wa league)

Usajili wa Ziyech umekuwa bonge la usajili shangwe kila shabiki hata wapinzani wetu wamekuwa positive kwa usajili huu.

Sent using Cash Money Wings
Chelsea wanatakiwa wasajili left back, central defender, kiungo mshambuliaji na striker basi kazi itakuwa biashara imeisha itakuwa Haina haja ya kumsajili Sancho.
 
Kuna watu nahisi wanatumia keyword ya overrated bila hata kujua ina maana gani hasa!
Wameshaaminishwa mchezaji yoyote wa kiingereza anakuzwa kiwango chake ndo maana wanawaponda wachezaji wa kiingereza.Ni kweli Kuna baadhi wachezaji viwango vyao vinakuzwa na media za uingereza reality wanaviwango vya kawaida mfano Jones stone wakati yupo Everton sasa hiv Man City wamekula hasara lakini si wote Kuna wengine wanapaishwa na media za uingereza cos ni wachezaji waingereza lakini reality wanastahili hizo sifa Kama sterling, Harry kane, Sancho.
 
Che va MU XI lineup
Formation 4-3-3
Mount - Abraham - Willian
Kovacic - Jorginho - Kante
Azpi - Rudiger - Christansen - James
Kepa
 
sancho ni overrated zych ni mtu mara 7 wachezaji wa uingereza promo nyingi mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
An English overrated player at the age of 19. Jaman hadi hizi namba zinadanganya?

Nifafanulie vizuri ukisema ni OVERRATED pengine sijawaelewa.
IMG-20200214-WA0002.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nachohofia ni hicho tu, kuflop. Sijui lakni. Mi nachotaka lampard asajili wachezaji wote anaowataka, ili kisingizio kisije kikawa tena kutokusajili mana sahiv anajificha kwenye kisingizio cha kutosajili, au ndio akishasajili ataanza kusema apewe muda!!

Sio kw bei hiyo mkuu.
Kama shida ni bei yake basi wanao mu overrate siyo waingereza ni wajerumani wenyewe. Halafu pia tulishaongea kitambo usajili wowote ni kamari. Hakuna mwenye uhakika kama anaweza skaendeleza moto wake au aka flop

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah Kweli hizi jamaa ni mashine.

Man city kuna Marhez, Benardo Silva, Sane hawa ni left footers

Marina fungua pochi tumlete Sancho.

Sent using Cash Money Wings
Tofauti na Sancho kuna mchezaji wetu tulimpeleka Sassuolo. Amewasha moto uko balaa. Huyo ni Jeremy Boga yeye ni Left Wing anakokota mpira kama Hazard.
Tunaweza mrudisha aje kupambana na kina Pulisic na Odoi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom