Chelsea are cooling their interest in the England ace due to Borussia Dortmund’s £100m valuation.
Chelsea wametenga Paundi mil 240 kwa usajili wa msimu wa kiangazi
Je Jadon Sancho atafit kwenye hiyo bajeti?
Chelsea wamepanga kusajili wachezaji watano
- Kiungo mshambuliaji
- Winga wa Kulia
- Striker
- Beki wa kushoto
- Golkipa
View attachment 1356813
Tayari Hakim Ziyech tunaye, bado wanne kwa bajeti ya paundi mil 240
Mwonekano wa jinsi Chelsea wanataka kutumia hiyo 240 ni kama ilivyoonyeshwa hapo kwenye jedwali
Ni dhahiri kuwa Chelsea hawako tayari kutumia zaidi ya paundi mil 70 kwa Jadon Sancho labda Tajiri kwa mapenzi yake na Sancho aamue kuvunja mojawapo ya akaunti yake ya benki mbali na ile mil 240
Metro wao wanasema Hakim Ziyech ni option ya bei nafuu kwa Jadon Sancho. Kwa hiyo inavyoelekea ndivyo Chelsea wameshampa mgongo Sancho
Ziyech, who is valued at around £42m, is seen as a cheaper and more attainable alternative to Jadon Sancho