Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wewe unataka jamaa aweje yani? Kwani Hazard hakuna matches ambazo anazimwa?

Huu msimu kwenye Bundesliga pekee Sancho kacheza match 15 ana goals 9 na assists 9.
Tupo wote kwenye hili bro, mie yangu macho ....... sacho amekua tu na msimu mzuri, ila sio wa bei hiyo, huyo sacho nimemchek kama mechi mbili hivi, hakunipromise chochote cha future ni bahati tu na media za UK, mcheki mount au pulisic wanavyohold na kuposses mipira wanapromise kitu flani mbeleni tena kikubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona mchezaji sacho tunamuhitaji ila sio kwa hiyo Bei ya £120m inawezekana kua ni msimu ndoumemkubali tu, tena kibaya zaidi viombo vya habari vya uingereza vina over rate wachezaji wao. Sacha bei yake halisi ni £60- 80m hapo poa

Sent using Jamii Forums mobile app
Arsenal walikuwaga wanesema mchezaji gali anachukuliwa na jirani, mchezaji gali mara kadakwa kwingine. Tukiingia mtego wa Arsenal tutabakigi tunaomba dua tusitoke angalau kushgiriki Europa, Ubingwa tusahau
Jadon Sancho anawaniwa na timu hizi
  1. Real Madrid
  2. Man U
  3. Man city
  4. Liverpool
Sancho haelekei kuflop
Mwaka jana goli 12 assists 14
Mwaka huu mechi 15 goli 9 asists 9
Mwaka jana ni wachezaji watatu tu kati ligi kubwa za ulaya walifikisha double digit kwenye magoli na assists nao ni
Sancho
Messi na
Hazard
Mwaka huu akicheza mpaka mwisho wa msimu Sancho atafikisha tena double digit tena namba zitazidi za mwaka jana
Magoli anaweza fiksiah 15 na assists 16-18
Na umri huu wa miaka 19 Mungu atupe nini
Chelsea tunaweza wapiti hao wengine kwa sababu Sancho anapenda kuja Chelsea
 
Wewe unataka jamaa aweje yani? Kwani Hazard hakuna matches ambazo anazimwa?

Huu msimu kwenye Bundesliga pekee Sancho kacheza match 15 ana goals 9 na assists 9.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ana tofauti gani na Tammy? Inatakiwa aletwe mtu ambaye ata mchallenge Tammy pale mbele ..kwang mim Timo Warner naona anafaa sana maana kwa wastani ana magoli mengi tu

Kila la kheri Chelsea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Terry hajawahi cheza Aston Villa katika youth carrier yake.

Youth Carrier

1991 - 1995 Westahm
1995 - 1998 Chelsea

Baada ya hapo ndio akaja kupandishwa timu ya wakubwa hiyo mwaka 1998. Pia mwaka 2000 alipelekwa Nottingham Forest kwa mkopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisahau mkuu niliwaza Westham uku na type Aston Vila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ana tofauti gani na Tammy? Inatakiwa aletwe mtu ambaye ata mchallenge Tammy pale mbele ..kwang mim Timo Warner naona anafaa sana maana kwa wastani ana magoli mengi tu

Kila la kheri Chelsea

Sent using Jamii Forums mobile app
Tammy striker, Sancho ni winga na akija atacheza winga atawachalenge akina Odoi, Pulisic, Willian etc
Competitor wa Tammy ni Timo Werner
 
Tupo wote kwenye hili bro, mie yangu macho ....... sacho amekua tu na msimu mzuri, ila sio wa bei hiyo, huyo sacho nimemchek kama mechi mbili hivi, hakunipromise chochote cha future ni bahati tu na media za UK, mcheki mount au pulisic wanavyohold na kuposses mipira wanapromise kitu flani mbeleni tena kikubwa sana.
Samahani kukwambia hili. Nadhani Sancho huku muangalia pengine ulimchungulia tu. Nakuomba tafadhali rudi mcheki upya ikiwrzekana angalia mechi live za Dortmund utapata majibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom