Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,196
Unajua nawashangaa mnaosema msimu umemkubali pengine nyie mmeanza kumfuatilia msimu huu ndio maana mnasema ivyo.Mimi naona mchezaji sacho tunamuhitaji ila sio kwa hiyo Bei ya £120m inawezekana kua ni msimu ndoumemkubali tu, tena kibaya zaidi viombo vya habari vya uingereza vina over rate wachezaji wao. Sacha bei yake halisi ni £60- 80m hapo poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kwenye mpira huwa siamini bahati jam imo ni imo tu hata uende wapi. Fanya mazoezi kiwango kitaonekana sasa hayo mambo ya msimu kumkubali mchezaji pengine ni ya Africa peke yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
