Anamzidi tammy?Hivi kwa nini tusichukue carlison yule mbrasil striker wa everton . Naona yuko vizuri kuliko shitty strikers wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Anamzidi tammy?Hivi kwa nini tusichukue carlison yule mbrasil striker wa everton . Naona yuko vizuri kuliko shitty strikers wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Niseme machache kuhusu mechi ya jana, kwanza nilifurahi sana sana USHINDI WA ILE MECHI.
Hongera ziende kwa Lampard kuja na mfumo kabambe uliowadhibiti spurs na kupata point 3.
Hongera zaidi ziende kwa wachezaji kuutendea haki mfumo kwa kweli walicheza kwa kiwango kikubwa sana. Kila mmoja aliitendea haki nafasi yake.
Bado changamoto ya uzoefu inaendelea kumkabili stiker wetu TAMMY, Ni vema tukafanya usajili wa striker mzoefu wa kusaidiana na Tammy.
Well done Willian jana kapiga kazi ya kufa mtu kweli mpira upo brazili.
Safu ya ulinzi ilikuwa imara sana Tomori - Rudger - Zouma safi sana. Alonso jana hakuwa mvivu alikuwa na energy ya kutosha kabisa ijapokuwa kipa wa totte alitaka kumuua.
Energy na sprit ya jana iendelee kwenye mechi zilizobaki hope tutaendelea kupata matokeo chanja.
London is blue, No willan no party.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatoa wapi nguvu izo na wakati wao wenyewe maji ya shingoSalamu kwa wale arsenal mnaopitapita kupiga mdomo huku tar 29 hatutakuwa na huruma na nyie. Tutawapiga kipigo kimoja safi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii formation ya 3-4-2-1 tulishacheza na ikaleta matunda mazuri. Nadhani kwenye UEFA mojawapo. Nilichogundua wakati huo na jana ni kwamba, Alonso na Azpi wakipewa majukumu ya mabeki washambuliaji wanacheza vizuri tofauti na backline ya 4 ambapo wote wane wanadefend kwanza. Lampard angewekeza kwenye 3-4-2-1. Wote walicheza vizuri isipokuwa Tammy kwa kweli saa nyingine hayuko clinical kwenye final touch japo bado anapose hatari kule mbele kwa sababu ya urefu wake. tumlete Haland na Sancho matatizo ya mbele yatapungua sanaNiseme machache kuhusu mechi ya jana, kwanza nilifurahi sana sana USHINDI WA ILE MECHI.
Hongera ziende kwa Lampard kuja na mfumo kabambe uliowadhibiti spurs na kupata point 3.
Hongera zaidi ziende kwa wachezaji kuutendea haki mfumo kwa kweli walicheza kwa kiwango kikubwa sana. Kila mmoja aliitendea haki nafasi yake.
Bado changamoto ya uzoefu inaendelea kumkabili stiker wetu TAMMY, Ni vema tukafanya usajili wa striker mzoefu wa kusaidiana na Tammy.
Well done Willian jana kapiga kazi ya kufa mtu kweli mpira upo brazili.
Safu ya ulinzi ilikuwa imara sana Tomori - Rudger - Zouma safi sana. Alonso jana hakuwa mvivu alikuwa na energy ya kutosha kabisa ijapokuwa kipa wa totte alitaka kumuua.
Energy na sprit ya jana iendelee kwenye mechi zilizobaki hope tutaendelea kupata matokeo chanja.
London is blue, No willan no party.
Sent using Jamii Forums mobile app
Twaenda poteza hela tu ataflopTushindwe sisi tu.View attachment 1300603View attachment 1300604View attachment 1300605
Sent using Jamii Forums mobile app
mfumo wa jana ulikuwa ni 3-4-2-1 na sio 3-4-3 japo tofauti ni near to zeroNirejee kwa kusema hakuna team inayo au iliyowahi kuupatia mfumo wa 3 4 3 EPL kama the blues. Rejea hata ubingwa chini ya Conte.
Umeamini sasa? Hahahaha........ mechi zote za big4 tumecheza vizuri sana, sema tu uzoefu ndio uliotuangusha, ndio mana nikiwa na ujasiri huo. halafu kilichokua kinawatisha ni jina la Morhino tu, kiuhalisia Morhino alishaishiwa tokea akiwa manyumbu.
Chelsea tukicheza na big 4 huwa hawaniangushi, tunafungwaga lakini hata hao walitufunga wanakua hawaamin kama kweli wametufunga. Ndio mana na imani na chels.We jamaa IMANI yako inaweza kuhamisha mlima. Kwa matokeo mabovu tuliyopata mfululizo hatukutegemea tungeshinda leo. Wewe ni SIMBA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maoni yangu, sidhani kama huyu jamaa ni muhimu sana kihiivyo kwahiyo cost!.Tushindwe sisi tu.View attachment 1300603View attachment 1300604View attachment 1300605
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasema tena huyu ni muhimu tena sana. Kwa uwezo wake wa kufunga na kuasiosts Katika umri mdogo wa miaka 19 wewe unataka nini? Tukawasajili wazee? huyu anafaa kwenye short, mid and long plan ya kuboresha teamKwa maoni yangu, sidhani kama huyu jamaa ni muhimu sana kihiivyo kwahiyo cost!.