Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naendelea kusema mambo mazuri bado yanakuja darajania Chelsea mwaka huu watatungezea miaka ya kuishi tofauti na wale majirani zetu akina Dully Jr, timu yake inateketea huko lakini kaweka kambi huku. Southampton timu dhaifu EPL kidogo leo waondoke na point zote Emirate
Hahahaaaaaaa sawa mzeebaba vipi leo mmetoka na alama ngapi?????maana mimi nimepata 1
 
camily huyo azp kapata usumbufu gan mpaka umpe hizo credit?? Muonee huruma ermason japo kidogo, jama upande wake ndio ilikuwa mafanikio kwa City
Ujue timu hua inashambulia upande wao uliobora,

Kabla ya mechi upande wa man city uliokua bora ni wa sterling & Mendy (ukichangia na aina yao ya uchezaji).

Azpilicueta alikua imara sana,, ukiangalia kipindi cha kwanza alimzidi sana sterling, apo ikabidi wabadilishe plan waanze kushambulia na upande wa emerson, ambaye kiukweli hakua vizuri leo.

Pia azpilicueta amezuia mipira kama mitatu ambayo 90% ilikua goli..

Block ya dakika za mwisho kabla kepa hajasave ule mchomo wa mahrez, short pass ya kona ambayo bila good position ya azpili basi obviously ilikua goli.
Na sikumbuki vizuri nani alipiga krosi, kati ya sterling au foden, azpili aliuzia ule mpira ambapo ilikua clearchance sana kwa man city.

For that he deserve credit
 
Hahaaaaa umechelewa sana kuligundua hilo mkuu,
Huyo jamaa ni shida,yeye anajisifia ile mipasi waliyokuwa wanaipiga kuelekea golini kwao.......aiseeeehhhh
We jamaa bhana ndio maana watu wanakuchana live kumbe sio bure. Ulitegemea nn kama sio hicho, yaani mcheze na mpira nyuma tena kipa na mabek alafu unajisifu kabisa eti pep kashangaa. Laiti kama city huo mchezo wenu mbovu usio na madhara sidhani kama mgegusa mpira
 
Yap poleni wanachelsea wenzangu. Tunapocheza na timu kubwa ndio tunaona madhaifu yetu, wapi tufanyie marekebisho.

Dirisha la usajili lazima tusajili stiker mzoefu wa kusaidiana na Tammy.

Tukifanikiwa kumsajili nathan Ake atatusaidia sana pale nyuma ni mzoefu na ana speed kwenye kukaba na kushambulia (Emerson na Alonso) wapangwe mechi zenye uhitaji wao.

Nimeshindwa kuelewa zile back pass yalikuwa ni maelezo ya mwalimu au? Tuko nyuma goal 1 tunapiga back pass nyingi badala ya kwenda mbele kutafuta goal.

Mapambano bado yanaendelea
Mwenzako haya maback pass ndio anayasifia
 
Wana Chelsea tuwe makini, wachangiaji wengi humu ni wa Live streaming na wengine wanasubiri Youtube, mpira wenyewe hawajauangalia lakini wao ndio mabingwa wa kuchangia hapa
Wewe ni mganga wa kienyeji mkuu???unajuaje kama wengi hawaangalii mpira?kwani aliyeangali utube,livestreaming na wewe wa banda umiza kuna tofauti gani???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom