Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyo paul ince anazeeka vibaya,maana chelsea hakuna mchezaji wa kumweka nje mchezaji yeyote wa city .....kikosi unachoweza kukifanyia combinenga ni cha liver tu,kwa mbaaaaali spurs na leicester unaona kuna watu wawili watatu wanaweza kuingua....
Hivi umweke Mahrez nje eti uchomeke huo ushubwada willian!!!!
Umweke Laporte,Stones na Otamendi nje uweke hiyo takataka Tomori na zouma,

Umweke Bernado,Silva na Rodri uweke hizo ngalangala Mount na kante khaaaaaaaaa!!!!!

Kwakuwa ni kombinenga yaani lazma na wao wawepo sawa lakini kiuwezo hata Fodden hakuna wa kumweka benchi hapo,
Nyie chelsea vichezaji vyenu ni softsoft vitoto havina tofauti na vile vya asenane
Hujui ulicho kiandika labda nikukumbushe combined kati ya Man utd na Liver hakuna mcheza yeyote wa Man utd aliekuwepo wote walikuwa wa Liverpool, kwaiyo toa hicho kisingizio kuwa lazima mmoja awepo
 
Kaka hapo kuna lugha mbaya ipi

Onesha lugha mbaya niliyotumia kaka ,pia mjifunze kuacha watu wawe huru kutumia fikra zao..hili ni jukwaa huru,kingine mkubali kupokea changamoto sio kila anayekuja hapa kumwambia anafuta kick
Wewe ni mgeni humu jifunze wengine wanavyowasilisha hoja zao jilinganishe na wewe. Naamini wewe iyo kichwa kigumu umenielewa hakuna anapingwa kwenye hoja zake utapingwa kama huna busara.
 
Nyie raia humu mjiandae kisaikolojia

City 5 Chelsea 1

Nasikia FA wamewatishia kiwapiga ban city endapo watawadhalilisha tena kama game iliyoisha ya 6 o'clock

Kila lililo la kheri chama langu la utotoni Manchester City
 
Na ndio sababu ya kumpiga ban Bernado ili mpunguziwe dhahma.,..gharika la magoli,na walikuwa wanatafuta sababu wampige ban na stearling hahaaaaa wamesahau tuna Mahrez, shida ipo palepale
 
Wewe ni mgeni humu jifunze wengine wanavyowasilisha hoja zao jilinganishe na wewe. Naamini wewe iyo kichwa kigumu umenielewa hakuna anapingwa kwenye hoja zake utapingwa kama huna busara.
Jiangalie wewe,hapa mna tabia ya kufundisha watu namna ya kuwasilisha hoja zao ,yaani wote mnataka tuongee ujinga kama mnaoongea nyinyi wa kusifia hiki kitimu cha kuungaunga.Hilo jambo futa kichwani kwako bwana mdogo,alafu kabla ya kusema ufanye uchunguzi,mimi na wewe nani mgeni??
 
Jiangalie wewe,hapa mna tabia ya kufundisha watu namna ya kuwasilisha hoja zao ,yaani wote mnataka tuongee ujinga kama mnaoongea nyinyi wa kusifia hiki kitimu cha kuungaunga.Hilo jambo futa kichwani kwako bwana mdogo,alafu kabla ya kusema ufanye uchunguzi,mimi na wewe nani mgeni??
Ushapanic sasa. Hakuna mtu alokwambia usifie timu wala sema mihemko yako inakupeleka vibaya. Nilichokwambia ni urekebishe lugha yako.

Nadhani hukwenda shule kusomea ujinga. Tafakari chukua hatua
 
wewe pambana na arsenal yako. Chelsea siyo saiz yako.
Nyie raia humu mjiandae kisaikolojia

City 5 Chelsea 1

Nasikia FA wamewatishia kiwapiga ban city endapo watawadhalilisha tena kama game iliyoisha ya 6 o'clock

Kila lililo la kheri chama langu la utotoni Manchester City
 
Saiv umekuwa mshabiki wa man city?
Na ndio sababu ya kumpiga ban Bernado ili mpunguziwe dhahma.,..gharika la magoli,na walikuwa wanatafuta sababu wampige ban na stearling hahaaaaa wamesahau tuna Mahrez, shida ipo palepale
 
Humu wamerudi wake mamluki walionipiga ban tangu septemba, mechi na city ikiisha watajipiga ban Tena.
Poleni sana, kwa Chelsea mtapata wivu mpaka muote mvi.
 
Na ndio sababu ya kumpiga ban Bernado ili mpunguziwe dhahma.,..gharika la magoli,na walikuwa wanatafuta sababu wampige ban na stearling hahaaaaa wamesahau tuna Mahrez, shida ipo palepale

Naona hoja yenu ya kumfukuzisha kocha imegoma umeamua kujipoza maumivu
 
images (2).jpeg
images.jpeg
images (1).jpeg
 
Mike relay ambaye ni boss wa marefaree wote wa epl amesema ile penalty waliopewa Watford dhidi ya Chelsea haikuwa sahihi so wamejipanga kufanyia kazi makosa yanayojitokeza kwenye matumizi ya VAR ili kuboresha huduma hiyo.
 
Nyie raia humu mjiandae kisaikolojia

City 5 Chelsea 1

Nasikia FA wamewatishia kiwapiga ban city endapo watawadhalilisha tena kama game iliyoisha ya 6 o'clock

Kila lililo la kheri chama langu la utotoni Manchester City
Unaumwa
 
Wakuu tumkumbushe Frank James Lampard kuwa pale etihad sarri alikula sita... Huwa hatuendi kufungua mchezo pale... Pale tunacheza kwa machale... Kwa walioangalia ile game ambayo sarri anawafunga city goli mbili pale darajani watanilewa... Pamoja na kuwa city hawapo katika kiwango chao bora lakini tumkumbushe lamps


NB : sijatabiri chochote.. Nimekumbushia tuuuu

#ktbffh
 
Nyie raia humu mjiandae kisaikolojia

City 5 Chelsea 1

Nasikia FA wamewatishia kiwapiga ban city endapo watawadhalilisha tena kama game iliyoisha ya 6 o'clock

Kila lililo la kheri chama langu la utotoni Manchester City
Umerudi tena kiongozi

Chelsea akishinda husikimbie tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom