Wataje watu wanaoniponda zaidi ya ninyi mamluki mnaojifanya mnajua mpira wakati hamna loloteIla wewe jamaa huoni kila mtu anakuponda kutokana na tabia yako jirekebishe basi mbona busara haina kosi kamanda binafsi nilikupuuza ile juzi nikaona labda katika makuzi yako uliruka stage frani hivi ya ujuaji nahyo yote nikutokana na kufungiwa kwenye mageti au kukaa sana na Dada zako wakati wa ukuaji....mimi ni Chelsea haswaa ila sio kila jambo unakoment sometime ukiona umevulugwa unavunga tu sio hadi ukoment sasa on a unavyoaibika broo
Waliniweka korokoroni mkuu,usijali mvua jua nitakuwa hapa kuwatia njaaUmerudi tena kiongozi
Chelsea akishinda husikimbie tena
Wewe unajua?achaga dharau kijana huwa hazikuongezei kitu zaidi ya kujichoresha tu.......Wataje watu wanaoniponda zaidi ya ninyi mamluki mnaojifanya mnajua mpira wakati hamna lolote
Wewe sio fan wa Chelsea usituaminishe tuamine hivyo, ndege wanaofanana huruka pamoja. Huwezi kuwa familia moja halafu unaungana na kambi nyingine kumshambulia Ndugu yako au labda maana ya fan hujui.Ila wewe jamaa huoni kila mtu anakuponda kutokana na tabia yako jirekebishe basi mbona busara haina kosi kamanda binafsi nilikupuuza ile juzi nikaona labda katika makuzi yako uliruka stage frani hivi ya ujuaji nahyo yote nikutokana na kufungiwa kwenye mageti au kukaa sana na Dada zako wakati wa ukuaji....mimi ni Chelsea haswaa ila sio kila jambo unakoment sometime ukiona umevulugwa unavunga tu sio hadi ukoment sasa on a unavyoaibika broo
Sijui kwa nini walikuachia mapema hao polisi, si wangekuchelewesha angalau game ya leo ipite maana una damu ya kunguni wewe, pamoja na timu yako kulizwa lizwa bado unapumua je wangekuwa wanashinda kama Liverpool si mtaani tungepata karahaWewe unajua?achaga dharau kijana huwa hazikuongezei kitu zaidi ya kujichoresha tu.......
Piga chelsea 5 tu ili kuwe na amani hapa leo
Mungu ibariki timu yetu Chelsea na wote tuseme aminaTushawafunga Tayari, sio kwa kiungo hikiView attachment 1270458
Mawazo yako mazuri ila mziki umeuona?My favourable result ni Draw
Kwa kikosi hiki tayari Chelsea yupo 2 goals down!Tushawafunga Tayari, sio kwa kiungo hikiView attachment 1270458