Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kipindi cha kwanza pep kaingia na mbinu moja tu yakushambulia upande mmoja tu. Hii mbinu huwa naitumia sana huku mtaani kwetu maana mi pia ni mwalimu wa mpira. Mahrez pamoja na Kevin wote kwa pamoja wamechangia Emerson aisee huyu beki hawezi furukuta mbele ya hao watu.
 
Emerson leo katuangusha
Kepa ndie katuua, goli la tatu lingekubaliwa lilikuwa na Kepa
Kwa ujumla Chelsea ilikuwa ni timu bora kuliko City ni kwamba tu mpira wa miguu ni mojawapo wa mchezo ambao hauko fair. Timu bora inaweza fungwa na timu ya kawaida tu
Wakija darajani hawa tutawalamba kisawasawa mbele ya KingNgwaba na Dully Jr
 
Mount - Bat Man - Willian
Kovaci - Jojinyo - kante
James - tomori - zouma - Azipl
Kepa

Hicho kikosi ndio kilifaa kuanza kwa jinsi nilivyo uona huu mchezo. Huwezi kuwa serious kumpanga Abraham. Dogo mchele sana
 
Emerson una muonea tu bule mkuu
Emerson leo katuangusha
Kepa ndie katuua, goli la tatu lingekubaliwa lilikuwa na Kepa
Kwa ujumla Chelsea ilikuwa ni timu bora kuliko City ni kwamba tu mpira wa miguu ni mojawapo wa mchezo ambao hauko fair. Timu bora inaweza fungwa na timu ya kawaida tu
Wakija darajani hawa tutawalamba kisawasawa mbele ya KingNgwaba na Dully Jr
Kuna jamaa watatu walikuwa wamemwandama kinoma utazan wao ndo wakabaji kumbe ni washambuliaji
 
Kwa kiwango vijana walioonyesha vijana leo ni timu mbili tu za EPL zinaweza kuifunga Chelsea nazo ni Man City na Liverpool, hao wengine ni kugawa dozi tu mpaka kieleweke
 
Man city leo kafanyiwa high pressing mpaka wakapasiana kwa 85% pass accuracy dhidi ya Chelsea 89%. Hii sio kawaida ya Guardiola
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom