Nilikiona leo nikiwa kama mpenzi hasaa wa chelsea.
Batshuayi ni wakuuza kabisa, unaingia sub 70 min mkiwa goli moja nyuma, unapoteza mpira unacheka. Kila mda uko offside..
Dirisha la usajili tunahitaji sana back-up ya tammy. Vinginivyo we will never have an option be.
Tammy ni talent nzuri,, lakin anahitaji mazoezi ili azidi kua strong na pia concentration yake leo ilikua ndogo sana.
He loose the ball two times, and we were punished.
Mason ni kipaji cha juu,, ajifunze tukaba zaidi naamin ataichukua namba ya kovacic kiurahisi kabisa.
Giorginho. Ni mhimili wa timu. Kuanzia utulivu, ulinzi hadi mashambulizi. Nikionaga anafanyiwa sub tu najua no creativity anymore.
Emmerson concentration yake always ni ndogo hasa kwenye big match,, nadhan tukimaliza kifungo moja ya sehemu ya kuongeza mchezaji ni left back
Azpilicueta, superbly play.. He deserve the spot day in day out.
All and all, Ze blues forever