Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Umeme ulikatwa Ndugu Aguero na Sterling wamehangaika sana, vimakosa tudogo dogo za hao dogo wetu wa backline ndio yamezaa hayo magoli miwili ya De Bruyne na Mahrez. Bado tuna nafasi kubwa tu ya kujibu mapigo darajani
Hivi yule aliyefinywa akaserereka 1km then KDB akatia msumari ni nani mkuu?
Hahahahaaaaaa
 
Still we haven't got the key against big matches ,what I think the Chelsea manager is working on it ,the second round we shall demonstrates what blues supporters wish to s3e..Blues is the color
Hahaaaa mmeshaanza mkifungwa viingereza vinakuwa vingi kama walevi wa gongo,mshaanza kuiga tabia za wale fans wa jukwaa lile....

Nyinyi bado sana na jana mmekoswakoswa sana ilibidi mfe mkono.

Poleni

Hahahahaaaaaaa
 
Aisee zeruzeru nimepa credit, huyu jamaa ana nguvu ya farasi. Akikamata mpira anapiga bullet muda wowote

Zeru zeru anapenda kutuonea sana. Kila tukikutana lazima hatufanye nyama. Jamaa ana hasira na chelsea [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Nakiri kwamba this round hatutafunga timu kubwa. May be next round tukafanya wonders

Comeonchelsea
 
Hujui ulicho kiandika labda nikukumbushe combined kati ya Man utd na Liver hakuna mcheza yeyote wa Man utd aliekuwepo wote walikuwa wa Liverpool, kwaiyo toa hicho kisingizio kuwa lazima mmoja awepo
Wewe mwenyewe unajua sema ubishi wako tu na mibichwa yenu migumu ya kupingana na ukweli hebu angalia hapa alafu useme nani anaweza chukua namba kutoka kwenu kama sio mahaba yamewajaa

Kepa vs Edrson/Bravo

Azpi vs Walker/Cancelo

Zouma vs Laporte

Tomori vs Stones/Otamendi

Emerson vs Mendy/Zichenko

Joginho vs Rodri/Fernandinho

Kante vs De brune

Willian vs Mahrez/Bernado

Mount vs Silva/Fodden

Abr
 
Haya kila mtu achukue kimojakimoja apoze machungu....
71943648_596920114208627_677112000188968803_n.jpeg
 
Yaani hili jukwaa mapema yote hii limedorola sasa ngoja tupige vurugu
 
Hatuwezi shindwa kuwadunda hata arsenali....
Zeru zeru anapenda kutuonea sana. Kila tukikutana lazima hatufanye nyama. Jamaa ana hasira na chelsea [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Nakiri kwamba this round hatutafunga timu kubwa. May be next round tukafanya wonders

Comeonchelsea
 
Still we haven't got the key against big matches ,what I think the Chelsea manager is working on it ,the second round we shall demonstrates what blues supporters wish to s3e..Blues is the color
Ndugu Lukub

Timu hii bado inatayarishwa kwa ubingwa mwakani. Ndio maana tunasemaga, mambo mazuri na ya raha yanakuja, tuwe na subira ndugu
Kumbuka mwaka huu tuliwekewa namba 10 na wengine kushuka daraja. Hata pundit wengi wakubwa waliipa Chelsea nafasi ndogo sana kwenye top 6.

Hizi dozi za timu ndogo tunazo ambazo hata Man City hana. Nina uhakika wa kumpita city kwenye msimamo wa ligi. Timu pekee ambayo nina wasiwasi kumpita ni Leicester city kwa sababu wao wamedhaminiria kula sahani moja na Liverpool
 
Kwani kuangalia nyumbani ndio nini mkuu?ndio kuna tofauti na anayeangalia bandani au bar?????kiasi uanze kujiona wewe ndio unauona vizuri mpira kuliko wengine!!!!hahahaaaa wenzio tunaacha kicheki home tunaenda kufata radha ya soka kwenye mikusanyiko,ndio maana hamuwezi kuface changamoto maana mshazoea kujifungia ndani,mkibustiwa kidogo tu mnachanganyikiwa...teh teh
Sasa leo nimeamini kumbe hiki kitimu cha wala ganja wa Arusha,
Wewe naona unaonaga raha ukimwaga pumba, raha yako sio lazima iwe raha yangu. Wengine tuna vipaumbele na hujui unaongea na mtu wa kaliba ipi? Sio kila shabiki wa mpira ni lazima aende kwenye makusanyiko ndipo afurahie mpira. Wewe kwa kaliba yako ya kupenda ubishi huko kwenye makusanyiko ni saizi yako
 
Katika hizo timu kubwa na Arsenal naye umemuhesabu?
Zeru zeru anapenda kutuonea sana. Kila tukikutana lazima hatufanye nyama. Jamaa ana hasira na chelsea [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Nakiri kwamba this round hatutafunga timu kubwa. May be next round tukafanya wonders

Comeonchelsea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom