Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Iyo kazi tuachie sisi ...awa wakina mama wanakuja geto lazima walale bila nguo.

Dah sijui imekuwaje yan munataka kusababisha kelele huku uraiani......hawa nyumbu hawachelewi kusema gari limewaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah sijui imekuwaje yan munataka kusababisha kelele huku uraiani......hawa nyumbu hawachelewi kusema gari limewaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aise wameshinda watasumbua wiki hii nzima[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani mbappe ana miaka 21 ..

Ngoja tuone leo uyo atarukarukaje?
Utakuwa na adabu sasa
IMG_20191027_201322.jpeg
 
Officially, vibonde wa manchester. Chapwa ugenini na nyumbani. Asee [emoji23][emoji23]
 
*kwa heshima na taazima tunawaomba radhi mashabiki wetu wa Manchester united kwa kushinda mabao machache Leo kwa hii timu mbovu* [emoji13][emoji13]?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom