DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Iyo kazi tuachie sisi ...awa wakina mama wanakuja geto lazima walale bila nguo.
Dah sijui imekuwaje yan munataka kusababisha kelele huku uraiani......hawa nyumbu hawachelewi kusema gari limewaka






Iyo kazi tuachie sisi ...awa wakina mama wanakuja geto lazima walale bila nguo.






Kumbukeni pale SB hamjafanikiwa kupiga shot yoyote offtarget au ontarget. Majinga nyie
Aise wameshinda watasumbua wiki hii nzimaDah sijui imekuwaje yan munataka kusababisha kelele huku uraiani......hawa nyumbu hawachelewi kusema gari limewaka![]()




Utakuwa na adabu sasaKwani mbappe ana miaka 21 ..
Ngoja tuone leo uyo atarukarukaje?
Tena sema nje ndaniAise wameshinda watasumbua wiki hii nzima![]()
Hili zezeta la mapenati limetuotea tena dah!!!Utakuwa na adabu sasa
View attachment 1249515


Yani mzee, kazi tunayo. Tena si ndogo.Dah sijui imekuwaje yan munataka kusababisha kelele huku uraiani......hawa nyumbu hawachelewi kusema gari limewaka![]()
Tulia dawa dawa ikuingie, this is man united!Nimejisikia vibaya sana sanaaaa.
Daaah penalty zingine bhana, ila ngoja ninyamaze tuAise wameshinda watasumbua wiki hii nzima![]()

Sijaelewa hata mmDaaah penalty zingine bhana, ila ngoja ninyamaze tu![]()
Apa tujiandae kuitwa majina vibonde, wanawake, cjui nini... kelele zao cunajuaaaaaaaaaaaDah!




Abraham kwa kung'aa kwa msimu kimagoli hana tofauti na Bahanuzi wa Yanga FC, yani anakimbia kimbia tuAbraham sub batshuay not Giroud

Huu upepo wa penati unawabeba kweli ..Tena sema nje ndani
Muwe mnawaonea wakina ajax huko