Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wewe unajua nini boya sana we jamaa,shenzy kabisa....inavyoonekana nyie ndio munaorushaga ngumi mkitaniwa kidogo tu nyambaf....sasa hapo ndio umeandika mashudu gani?mpumbavu ni wewe ambaye katika jukwaa la soka unaleta matusi,

Na kichaa siku zote huona wale waliokuwa wazima ndio vichaa

USITAKE KULAZIMISHA WATU WACOMMENT UNACHOKIPENDA TU,JIFUNZE UVUMILIVU DOGO
Kuwa mpole bro
 
Hivi wakuu tukiwafunga na hii game so tunaruhusiwa kuingia mpaka mtaroni??
 
Hivi wakuu tukiwafunga na hii game so tunaruhusiwa kuingia mpaka mtaroni??
 
Aliyekupa hiyo like ni mpuuzi vilevile kama wewe

Sipati shida na washangiliaji viaziambao timu ikipoteana munahamia katika jukwaa la mapishi na chitchat
Mimi nadeal na washabiki wa kweli wanaojua maana ya ushabiki @Ollachuga na Southern Highland hawawezi kuandika shudu kama hilo, zaidi zaidi ni utani na kejeli bhaaaas hata lembu na LIKUD wanajielewa sana ila nyie wengine ....

Kwanza sijui hata mumekurupukia wapi au ndio KISULISULI WIND
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom