Kilabu cha pombe kinashiriki Champions League ?Kilabu cha pombe bingwa wa Europa kwa kumfunga Arsenal 4-1 ,wewe hauna kitu unajua kwenye football ,nimekwambia kashabikie mapishi unabwatabwata tu hapa nakushushia vyuma ,ongea kwa FACT uonekane mwenye akili sio ,uropokaji humu jukwaani tunakuona zumbukuku tu
Mkuu hata husibishane na mashabiki wa Asernal na hawa wasiyojua mpira. Wanepata pa kupunguza maumivu waliyopata mwezi wa Tano baada ya kufungwa 4 na chelsea.
Labda niwaulize ninyi mnaojitoa ufahamu kwa chelsea.
Je, ni chelsea pekee ndiyo imewahi kufungwa goli 4?
Man city msimu ulipita alimfunga Liver 5 bila, man u kala 4 tot kala 5.
Pia chelsea imewahi mfunga man u 4 bila, man city 6, Arsena 4 na 6 pia
Kufungwa kupo na ndiyo maana mkikutana kuna kushinda kushindwa na kudraw.
Timu zote zinaingia uwanjani kwa lengo la kupata points 3 yaani kushinda bila kujali itashinda goli ngapi.
So upande mmoja ikizidiwa mbinu basi inafungwa na kuchukuliwa points zote 3.
Jana tumecheza mpira ila tulizidiwa mbinu ya kufunga. So kwangu kufungwa its ok na najua next time bila ya kujali ni lini tutakuwa pouwa makosa yetu yaliyo onekana jana yatarekebishwa na kocha.
So ni jambo la muda tu. Comeonchelsea. Always blue in colour