Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Pole sana tuliwaambia timu yenu bovu,mkawa mnadai tunawasingizia,sasa mnapigwa NA man u hii ,mmewapa kelele mitaaniAsiseee na wewe leo unatoka kifua mbele kushangilia chelsea kifungwa. Ila ni haki yako unapooza maumivu ya zile 4 nilizokuchakaza juzi. Siyo mbaya leo kwangu kesho kwako
