Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,151
- 51,842
Hizo game kubwa zinazokuja ndio kabisaa yani.
Bora hata na man u mlikuwa na chance kubwa. The thing is chelsea mmeuza wachezaji muhim bila mipango ya kuziba mapengo hayo.
Ndio nilichokiona jana.. haswa diffence na attacking zina matundu makubwa.
Bora hata na man u mlikuwa na chance kubwa. The thing is chelsea mmeuza wachezaji muhim bila mipango ya kuziba mapengo hayo.
Ndio nilichokiona jana.. haswa diffence na attacking zina matundu makubwa.
Sure mkuu, watoto wameucheza mpira na umeonekana. Tushukuru watagundua mistske nyingi ndogo mapema. Maana bahati tunapata game kubwa 3 ndani ya mwezi huu na ujao. Tuna nafasi nzuri vijana kurekebisha machache ikiwa bado mapema.


