Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mm nasema msimu mtapigwa hadi mchakae ,sisi wachambuzi wazoefu tunaiona Chelsea ikifurukuta lakini inakata roho , sioni mkipata hata point 1 kwa top 6,

Naona Everton, Watford ,astonvilla , Leicester wakiwabonda

Kufikia krismass Mtabadili kocha lkn wachezaji ni hao hao ,

Mtapigika sana msimu huu
Wewe ni kiazi haswa, hivi Rudiger, kante, wilian, batshwai na odoi, Kennedy wakipona mbwa koko gani ata mtisha Chelsea..?
 
Wewe ni kiazi haswa, hivi Rudiger, kante, wilian, batshwai na odoi, Kennedy wakipona mbwa koko gani ata mtisha Chelsea..?
Wewe kweli ndio kiazi, hao deadwood ndio wakuwatishia watu, sasa nakwambia walioanza kwenye kichapo pale OT ni bora kuliko hao wagonjwa unaowasema, ODOI ana maajabu gani zaid ya media kumpa airtime?

Willian ana msaada gan na juzi kafikisha miaka 32 kama sikosei, na hajawahi kuvuka magoli matano kwa msimu., huyo batswayi ndio wakumtishia MTU?

Hapo mmebaki na rudiger lkn anacheza na nani? Anacheza na Zuma au Christensen , vipigo vipo pale pale
 
Zola Comment on Man U Defeat
‘If we go in at half-time two or three-one up, as we probably should have done if we were more clinical and maybe had a stroke of luck here and there, the game would’ve been completely different.’
 
Wewe kweli ndio kiazi, hao deadwood ndio wakuwatishia watu, sasa nakwambia walioanza kwenye kichapo pale OT ni bora kuliko hao wagonjwa unaowasema, ODOI ana maajabu gani zaid ya media kumpa airtime?
Willian ana msaada gan na juzi kafikisha miaka 32 kama sikosei, na hajawahi kuvuka magoli matano kwa msimu., huyo batswayi ndio wakumtishia MTU?
Hapo mmebaki na rudiger lkn anacheza na nani? Anacheza na Zuma au Christensen , vipigo vipo pale pale
Willian anayomagoli matano yenye Epl ,Europa ,FA ,Auba na Lacazete wanayo magoli 50+ hata Top four imewashinda ndio tofauti ya wachezaji na wachekeshaji
 
Hahahhaha itakuwa yakukodi ,maana hata uwanja ni wakukodi
Aron nmeangalia profile yako

Hahaha nmecheka sema nn mkuu nataka niinunue aseno
IMG_20190812_140408.jpeg
 
Mashabiki wa Man U wanajitambua wasio jitambua ni wa Arsenal ambao Makombe walisha sahau kazi kushiriki tu na kutupigia kelele

Iko siku hawa Mabosi wenu wa London (Arsenal) utawapigia magoti.
 
Iko siku hawa Mabosi wenu wa London (Arsenal) utawapigia magoti.
Ndugu acha kuota bosi yupi asiyejulikana ulaya ,Team inayoitwa Arsenal haijulikani Ulaya acha kuota ni ka team ka england ,ulishaona mfanyakazi anajulika kuliko bosi acha kutuchefua kutulinganishwa na team ambayo haipo serious
 
Mechi zingine sio lazima zichezwe, kwanini Uefa wasimpe liverpool hilo kombe waokoe muda na fedha?
Aliyepata nafasi alikutoboa 4-1 BAKU nafasi zinakuja kwa team zilizo serious tu sio midebwedo kama arsenal.Wewe utazeeka kamwe hautaiona EUFA SUPER CUP ,Makombe hayaji kwa kutajataja majina ya wachezaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom