nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 6,495
- 11,199
Afadhari umemjibu mkuu, huyu jamaa hakumbuki ile arsenal iliyokua inapigwa hadi goli nane ila kwenye possesion wanakua vizuri.Goli 4 mtungi unasema ni vitu vidogo tu mmezidiwa haha mpaka ulambe goli 6 au nane ndo akili iwakae sawa?