Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu Higuain ambaye hata Morata amefunga magoli mengi kuliko yeye msimu huu ?
Na kibaya zaidi anakuja katikati ya msimu

Chelsea ina matatizo kuanzia beki,kiungo na mshambuliaji ngoja tusubiri kuona Higuain anafuta makosa ya kina Alonso,Luiz,Willian,Jorginho

Sent using Jamii Forums mobile app
Reminder :Chelsea ina matatizo kwenye defence,kiungo na ushambuliaji + mfumo anaoutumia kocha kuchezesha viungo ambao sio creative (Kovacic,Kante,Barkley,Jorginho) na pia kumchezesha Kante out of his main position
 
Sarri is playing David Luiz as a centre-half, Kante as an attacking midfielder and has told Eden Hazard he can leave if he wants... starting to understand the fact he's won no trophies.
 
Sarri can only blame himself and his poor management. You can't bring in Jorginho and make him instantly undroppable despite his inability to defend, assist or score.
 
Fans opinions
Stephen: Chelsea should sack Sarri in the morning and bring in Frank Lampard. What's the point in having so much possession but doing nothing with it? Football is all about goals.

Adrian: Give the job to Lampard. A young attack-minded manager with Chelsea running through his veins and let him build a dynasty.
 
Hii ni zaidi ya dharau. Hata kama kufungwa walau tungefungwa goli moja tungesema wamekamia lakini 4 tena bila hata majibu unaanzaje kujitetea.? Timu haifungi magoli inaruhusu tu.

Naanza kupata mashaka na Sarri. Amrudishe Kante nafasi yake, tuletewe kiubgo mwingine katikati pale, tunataka na striker wa maana. Hii haiwezekani.

Daah nimeumia sana. Sielewi!! Why

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu striker bila kubadili style ya uchezaji ni kazi bure. Na yeye ataonekana mbovu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa niaba ya wana OT napenda kutoa salamu za rambirambi. Msiba mzito huu,hasa ukitegemea marehemu hakutarajia kufa kifo kibaya kiasi hiki.
 
Ngapi
IMG_20190131_095904.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
We are suffering from saridecease, if we don't sack this manager, we gonna not enter into top four EPL. The team does possess football, but can't win against very small teams, we have no coach

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The problem isn't Sarri, it's our players' characteristics. We are not direct but passive
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom