radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Sasa Maamuzi ya hichi kikao yamefikiaje? SARRI OUT au SARRIBALL must Continues?
View attachment 1009264





Sasa Maamuzi ya hichi kikao yamefikiaje? SARRI OUT au SARRIBALL must Continues?
View attachment 1009264





nafikiri mpaka sasa utakuwa na furahaI am very happy to see Alonso benched todayView attachment 1008969
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna kajamaa kamoja ndio kakawa kanafananisha haka katimu kake na yule mfalme wa london THE GUNNERS hahahahahahahahahahahahah sasa hivi katakuwa kanahemea mipiraBreaker News: Wakuu nimepata taarifa hivi punde kuwa Msemaji Mkuu Wa Familia Ollachuga Oc ni mahututi muda huu yupo ICU Agkhan Hospital.
Tushirikiane viongozi tumpatie japo mchango huyu mdau mwenzetu.
Hahahaaaa
Ndugu yetu Ollachuga Oc anazimia hovyo hovyo,bila msaada wa haraka anaweza kututoka.
We unaona Jorginho anaitendea haki nafasi yake.?Ebana hivi nyie mpira mnaangaliaga vizuri kweli?Hiyo nafasi ya Kante unayoisema ni ipi?mmefungwa kwa sababu ya wachezaji wenu sio Sarri












Ushindi pekee ulioshinda ni kuwa Umeshinda Na Njaa![]()
![]()
Style ya uchezaji siyo tatizo, hata ikitokea tumebadili style ya uchezaji unadhani hawa mastriker tulionao wanaweza kuleta chochote style ikibadilika.Mkuu striker bila kubadili style ya uchezaji ni kazi bure. Na yeye ataonekana mbovu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
na kweli kaamua kuchawia kila jukwaa kule kwetu katusakama weee hadi tumepoteza point mbiliWacha uchawi wa kila mtaa wewe![]()
![]()
Kante rud 6 jojinho nenda 8 ,bas tutamuona @Ollachuga humu,
Vinginevyo atakuwa anajipiga ban kila siku
Sent using Jamii Forums mobile app
wakati mwingine mashabiki akili zetu tunazijua wenyewe sisi kule kwetu tunamlaumu klopp,juzi juzi tu arsenal nao walikuwa wanamlaumu emery sasa bado zamu ya ole gunnaNaungana na wachezaji, sioni future ya Chelsea chini ya Sarri, mbishi, habadili mbinu, tunahitaji kocha mwenye vision na mbinu za kuifikia vision



..this is hilarious
Sarri's wife: Hubby wake up it's 5.
Sarri: Did they score again?
Sarri's wife: No, it's 5 o'clock, time for jogging.
![]()
Kabisa YaaaniMgomo wa kumtoa kocha umeanza
Hakuna kocha aliyemsema vibaya Hazard kwenye vyombo vya habari akabaki salama
Kitendo cha Sarri kumuita Hazard mbinafsi Zaidi ya kiongozi ndio tiketi yake ya kurudi Italy kwenye ile kazi yake ya Banker
Kaiharibu Chelsea ile ya attacking football kuwa Chelsea ya kukimbia kimbia uwanjani
Tena unawaita Kikundi hiki ni ngumu kuhamasisha kwa lugha ya mama yake
BYE BYE Sarri